Freemasons: Chukua tahadhari

Kwani damu ina nini hadi Itafutwe hivi?si wakanunue tu kwenye bank za damu??

Kwasababu damu ni uhai
Na kila agano hukamilishwa na damu tangu uumbaji,
Ndo maana kuna maagano mengine yakivunjika madhara huwa makubwa
 
kuna wajinga utawapata na uongo wako mbona tuna bank za damu kwanini hawaendi huko.
 
l hate people wanaandika vitu they dont know especially on mansonic
 
Miundombinu mibovu unaleta ujinga wako hapA
 
Kungekuwa na sharti la kuandika barua ya maombi kuja duniani, basi mimi ningekiuka sharti. Ila kwa kuwa tunakuja duniani pasipo kujitambua, ngoja tuishi tu
 
Mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu kikweli kweli pasina chembe ya shaka,hana haja kuhofia chochote kile.Hao Freemason na fujo zao zote,mwisho wao ni mikononi mwake.Hiyo ni jeuri yao ya muda tu kwani hakuna yeyote miongoni mwao anayemiliki uhai wake.Wote hao pumzi zao zitazima.Acha wacheke tu kwa muda huu mfupi,lakini watalia sana tens kilio cha kudumu.
 
Mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu kikweli kweli pasina chembe ya shaka,hana haja kuhofia chochote kile.Hao Freemason na fujo zao zote,mwisho wao ni mikononi mwake.Hiyo ni jeuri yao ya muda tu kwani hakuna yeyote miongoni mwao anayemiliki uhai wake.Wote hao pumzi zao zitazima.Acha wacheke tu kwa muda huu mfupi,lakini watalia sana tena ni kilio cha kudumu.
 

wambea katika ubora wao
 
Kungekuwa na sharti la kuandika barua ya maombi kuja duniani, basi mimi ningekiuka sharti. Ila kwa kuwa tunakuja duniani pasipo kujitambua, ngoja tuishi tu

Acha kumkufuru muumba wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…