Freemasons: Chukua tahadhari

Freemasons: Chukua tahadhari

Kwani damu ina nini hadi Itafutwe hivi?si wakanunue tu kwenye bank za damu??

Kwasababu damu ni uhai
Na kila agano hukamilishwa na damu tangu uumbaji,
Ndo maana kuna maagano mengine yakivunjika madhara huwa makubwa
 
kuna wajinga utawapata na uongo wako mbona tuna bank za damu kwanini hawaendi huko.
 
l hate people wanaandika vitu they dont know especially on mansonic
 
Kungekuwa na sharti la kuandika barua ya maombi kuja duniani, basi mimi ningekiuka sharti. Ila kwa kuwa tunakuja duniani pasipo kujitambua, ngoja tuishi tu
 
Mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu kikweli kweli pasina chembe ya shaka,hana haja kuhofia chochote kile.Hao Freemason na fujo zao zote,mwisho wao ni mikononi mwake.Hiyo ni jeuri yao ya muda tu kwani hakuna yeyote miongoni mwao anayemiliki uhai wake.Wote hao pumzi zao zitazima.Acha wacheke tu kwa muda huu mfupi,lakini watalia sana tens kilio cha kudumu.
 
Mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu kikweli kweli pasina chembe ya shaka,hana haja kuhofia chochote kile.Hao Freemason na fujo zao zote,mwisho wao ni mikononi mwake.Hiyo ni jeuri yao ya muda tu kwani hakuna yeyote miongoni mwao anayemiliki uhai wake.Wote hao pumzi zao zitazima.Acha wacheke tu kwa muda huu mfupi,lakini watalia sana tena ni kilio cha kudumu.
 
Ifahamike kuwa kuanzia tarehe 11 hadi 20 ya kila mwezi wa nne kila mwaka huwa ni siku mahususi za kutoa sadaka (kafara) kwa Wajenzi Huru katika lugha ya kigeni ( Freemasons ) kwa kile kinachoamika kuwa ni utekelezaji wa agizo ambalo mwanachama (member) hulikubali mara ya kwanza anapokuwa amejiunga na kundi hili la Wajenzi Huru.

Kuna baadhi ya Watanzania wenzetu waliokwisha jiunga tayari na hili kundi na sasa wapo katika hatua ya kutekeleza ahadi zao hizo za Kimasonia za kila terehe 11 hadi 20 ya mwezi wa nne kila mwaka. Ndani ya hizo tarehe huwa kunakuwa na mfululizo wa kuwepo kwa matukio mbalimbali ya umwagaji damu hususani matukio ya ajali za magari ambazo uhusisha mauaji makubwa ya watu kwa kumwaga damu aidha kwa kupoteza maisha kabisa au kupata majeraha mbalimbali yatoayo damu kwa wingi. Kwa kipindi hiki cha utoaji sadaka kwa hili kundi la Wajenzi Huru (Freemasons) ni vema sana kuwataarifu ndugu, rafiki na jamaa zako wa karibu kujiepusha na safari zinazohusiana na magari kwa kusitisha safari zako hadi pale hizo siku za Kimasonia (Masonic Days) zitakapopita.

Ifahamike kuwa utoaji sadaka kwa njia za ajali za magari inakuwa ni rahisi sana kwa sababu Wajenzi Huru wote hupata urahisi huo katika upatikaniji wa damu na pia lazima kutakuwa na umati wa watu tofauti na ajali nyingine,umati mkubwa wa watu kukusanyika katika ajali huwapa nguvu Wajenzi Huru hao. Basi ni vyema kuwaepusha uwapendao kwa kuwahabarisha kwa ujumbe huu,okoa maisha yao dhidi ya sadaka ya Wajenzi Huru katika kipindi chao hiki. Tumuombe Mungu kupitia imani za dini zote ili kwenda kinyume na hizi nguvu za kibinadamu zisizo na mamlaka mbele za Mungu,Ameni.

TAHADHARI WASAIDIE UWAPENDAO KWA KUWAHABARISHA JUU YA HIZI NGUVU ZA GIZA. SITISHA SAFARI HADI HIZO SIKU ZITAKAPOKWISHA.

wambea katika ubora wao
 
Kungekuwa na sharti la kuandika barua ya maombi kuja duniani, basi mimi ningekiuka sharti. Ila kwa kuwa tunakuja duniani pasipo kujitambua, ngoja tuishi tu

Acha kumkufuru muumba wako
 
Back
Top Bottom