Freemasons ndani ya Makanisa

Ulokole ulianzishwa na freemason kwa lengo kuu ni kulipunguza nguvu kanisa katoliki kitu ambacho still bado wameshindwa. Kanisa katoliki ndilo kanisa lenye waumini wengi sana duniani
 

Aliyeanzisha rap ndie aliyeanzisha ulokole.Shika dini kwa akili na sio kwa mazoea
 
Vitabu ni vingi na dini ni nyingi soma angalau din tano utapata kitu. Sio mmekazana lucifer lucifer. Hawa wa egypt ni wasiri sana. Achana na hawa fake hawajui kitu.

Ujiulize kwan freemason naana ya neno na mambo unayo yasikia kuusu haviusiani. Akili mkichwaa.
 
Hata Hellen G White zipo say alikuwa ni freemason thus aliyoyatabiri kwenye vitabu vyake mengi ni ajenda za illuminati.
Waasisi wengi wa madhehebu walikuwa ni wakuu wa freemason
 
Nimeichunguza kiundani hii nembo ya waSDA imedesigniwa kiujanja sana huo msalaba umegeuzwa juu chini ila hadi utulie kuangalia kwa makini !!! View attachment 2104534
Hii ni official logo. Ukiongeza hata nukta hiyo inakuwa ni logo nyingine. Huo msalaba mbona siuoni. Au masonic wameuficha kwa nyuma. Hahahaha
 
Ulokole ulianzishwa na freemason kwa lengo kuu ni kulipunguza nguvu kanisa katoliki kitu ambacho still bado wameshindwa. Kanisa katoliki ndilo kanisa lenye waumini wengi sana duniani
Unalitenga vipi kanisa katoliki na ufreemason?

Kuanzia vikundi ndani ya catholic kama jesuits, knight of templar, na upagani uliojaa ambao catholic ndiye amewarithisha mabinti(madhehebu) mengi
 
Chief, is Elon Musk a member of the United Grand Lodge of England and a member of the Ancient and Accepted Scottish Rite of Freemasonry?
The United Grand Lodge of England is the highest degree of Freemasonry. The Ancient and Accepted Scottish Rite of Freemasonry is a degree that requires at least 3 years of study in a lodge of the Scottish Rite to be initiated.

The Scottish Rite is the oldest and largest international fraternal organization in the world. If that is the case, he is in a position to have in-depth knowledge of what is going in the planet Mars.
 
Alafu dini zote hizo wakamletea mwafrika!

Ova
 
unalitenga vipi kanisa katoliki na ufreemason?

kuanzia vikundi ndani ya catholic kama jesuits, knight of templar, na upagani uliojaa ambao catholic ndiye amewarithisha mabinti(madhehebu) mengi
So freemason wameanzisha ufreemason ndani ya makanisa.
Ukizichunguza haya madhehebu huwezi sali
 
So freemason wameanzisha ufreemason ndani ya makanisa.
Ukizichunguza haya madhehebu huwezi sali
Yapo waliyoyaanzisha na mengi wameyaingilia, mfano mormon, Jehovah witness, mfano lutheran lengo lilikuwa zuri tu ila tyr freemason wameshaingia , sawa na kanisa langu SDA, kupitia viongoz wa juu, wameshaingia,
 
mkuu toka nje ya box, usibebwe na mafundisho usiyojua msingi wake, hivi kule unakoambiwa ni kunena kwa lugha, ulishafatilia vzr msingi wake?

Kunena kwa Lugha kumeelezewa kwenye Biblia, na mitume wa kwanza walikaa mahali pamoja mpaka siku Roho Mtakatifu alipowaita na wakanena kwa Lugha mbalimbali. Sasa wewe unapotosha uongo eti Ni kurap. Kwa hivyo hata Biblia inasema uongo?. Naona kanisa linapogwa Vita Kila mahali.
 

Wewe Ni muongo Sana. Na unadhani wewe ndio upo sahihi. Huwezi kuongelea imani ambayo huiishi. Kama hujawahi kunena kwa Lugha utawezaje kuongelea kuhusu kunena kwa Lugha.
 

Wewe Ni muongo Sana. Na unadhani wewe ndio upo sahihi. Huwezi kuongelea imani ambayo huiishi. Kama hujawahi kunena kwa Lugha utawezaje kuongelea kuhusu kunena kwa Lugha.
Ulokole ulianzishwa na freemason kwa lengo kuu ni kulipunguza nguvu kanisa katoliki kitu ambacho still bado wameshindwa. Kanisa katoliki ndilo kanisa lenye waumini wengi sana duniani

Mnawatukuza free Mason kana kwamba ndio Mungu. Acheni ujinga, unajua historia ya upentekoste ilovyoaanza au unaongea tu kwa sababu umeshiba ugali?. Mnawwbudu free Mason mpaka hata Maisha yenu wenyewe mnayaona hayana dhamamni.
 
Ukisikia upinga Kristo ndio huu. Kama ukristo hauna maana , hamieni madhehebu mengine. Mnaboa jinsi mnavyo watukuza Freemason kana kwamba Mungu hayupo, wait ndio Miungu, wakati Ni wanadamu na wanakufa na kwenda hukumuni.
 
Hii ni official logo. Ukiongeza hata nukta hiyo inakuwa ni logo nyingine. Huo msalaba mbona siuoni. Au masonic wameuficha kwa nyuma. Hahahaha
Digrii ya 18 inayoitwa ‘Knight of Rose Croix’ hushughulika na elimu ya aina za misalaba na jinsi ya kufanikisha kuziingiza ndani ya taasisi na madhehebu mbalimbali kwa imani ya Illuminati na freemason na kwa kweli freemason wa digrii hiyo wamefanikiwa kwa kiwango cha juu kabisa kuingiza aina nyingi za misalaba ndani ya makanisa na taasisi bila ya waumini kujua maana ya misalaba hiyo

Alama ya msalaba ni alama ya kipagani tunaona kuwa kanisa la waadventista wasabato sasa wameingiza misalaba katika nembo ya kanisa. Hii inaonesha wazi kuwa Kanisa lipo katika Uvuguvugu na sio moto tena.
 
DINI YA KWELI NI UISLAMU Peke ake

Endelea kuwaelimisha hao wasiojua

ukikataa ukikubali lkn UISLAMU utasonga mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…