Freezer kubwa linahitajika

Freezer kubwa linahitajika

Casuist

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2014
Posts
1,189
Reaction score
2,970
Habari Wakuu, nahitaji freezer la kununua kuanzia size ya kati wastani wa futi 3.5(105 cm) au Lita 300 na kuendelea. Liwe second hand na bei ifananie hapo. Ni kwa ajili ya biashara hivyo liwe linagandisha vizuri.

Napatikana Dar niPM kwa mawasiliano.
 
Back
Top Bottom