hahaha...!! mkuu Jamii forums ni zaidi kupata habari, elimu na burudani, lakini pia inatusaidia sisi wajasiliamali wadogo kujitangaza na kutangaza shughuli zetu.Mbona hili ni kama tangazo la biashara?, mlipiage matangazo maana vyuma vimekaza
Asante chief CAP yangu ya BF ni hiyo meli ni TBA kama walivyoionyesha hapo.mkuu nipe jina la meli nifanye tracking ili kujua inawasili lini.
"TBA" maana yake ni "To Be Advised" yaani taaarifa(datails) za meli husika utajulishwa baadae. Kifupi ni kwamba wako kwenye mchakato wa kutafuta meli ya kusafirisha gari yako.Asante chief CAP yangu ya BF ni hiyo meli ni TBA kama walivyoionyesha hapo.View attachment 856855
Sent using Jamii Forums mobile app
Oh asante mkuu eneo hilo umenitoa ujinga nilidhani ndio jina la meli.[emoji106]"TBA" maana yake ni "To Be Advised" yaani taaarifa(datails) za meli husika utajulishwa baadae. Kifupi ni kwamba wako kwenye mchakato wa kutafuta meli ya kusafirisha gari yako.
Ingawa attachment inaonyesha tayari gari imeshapakiwa melini, labda umefichwa taarifa za meli huenda hujakamilisha malipo yao."TBA" maana yake ni "To Be Advised" yaani taaarifa(datails) za meli husika utajulishwa baadae. Kifupi ni kwamba wako kwenye mchakato wa kutafuta meli ya kusafirisha gari yako.
wakuagiza hizo machine ni mimi na wewe bossBadala ya kuingiza machine na mitambo ya Viwanda wanatulete magari
Ahsante kwa taarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu msaa
kati ya hizo meli kun Burgatti veyron yangu pamoja na Nissan Gtr, lamborghini avantador, maybach long 650, Roll Royce phamtom, Ferrari Italia 448, Ford Mustang "charger" Range rover vogue na landcruiser V12 GX ZX zote 2018 edition.
Itanigharimu kiasi gani kuzilipia kodi na ushuru??
Msaada wenu muhim.
Nata guliza shukran zangu za dhati kabisa
@PRONDO Elungata Nyani Ngabu Kiranga
mkuu jf sometimes ni kijiwe cha gahawa, soma na upite hiiiviiiii[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ya kampuni au yanyumbani [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Watu waache kuleta magari yao wakuletee mitambo wewe ?Badala ya kuingiza machine na mitambo ya Viwanda wanatulete magari
Ahsante kwa taarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kwanza jaribu kutembelea Alibaba link ya bidhaa hii iko hapa chini, wasiliana na supplier ili umpe specification za hii machine. Pia muombe bei Cost & Freight (CFR) mpaka Dar es Salaam-Tanzania by Air maana uzito wake ni mdogo so kwa Air itakua more economical ukilinganisha kwa njia ya maji..Nkihitaji hii mashine ya kufumia mazulia (hand tufted gun) kutoka china itakuwa bei gani mpaka niiweke mikononi mwangu???View attachment 856482
Sent using Jamii Forums mobile app
Mcheck Mwl.RCT atakusaidiaNkihitaji hii mashine ya kufumia mazulia (hand tufted gun) kutoka china itakuwa bei gani mpaka niiweke mikononi mwangu???View attachment 856482
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi kuifikisha Dar hii machine ni US $460mkuu kwanza jaribu kutembelea Alibaba link ya bidhaa hii iko hapa chini, wasiliana na supplier ili umpe specification za hii machine. Pia muombe bei Cost & Freight (CFR) mpaka Dar es Salaam-Tanzania by Air maana uzito wake ni mdogo so kwa Air itakua more economical ukilinganisha kwa njia ya maji..
Link: Fine Textured High-end Hand Tufting Gun For Carpet - Buy Tufting Gun For Carpet,Hand Tufting Gun For Carpet,Gun For Carpet Product on Alibaba.com
Zachaja hawa jamaa wanasema gari yangu imefeli ukaguzi kwa hiyo wanaitengeneza itakuwa tayari tar 21 September, ni kweli magari yanayokuja huku yanaweza kufeli ukaguzi ?MELI ZA MAGARI ZINAZOTEGEMEWA KUWASILI BANBARI YA DAR ES SALAAM MWEZI HUU WA SEPTEMBA, 2018.
1. Meli: Glovis Chorus voyage no. 025 Kuwasili tarehe 01/09/2018.
2. Meli: Opal Ace safari (voyage) no. 0060A Kuwasili tarehe 01/09/2018.
3. Meli: Morning Pilot safari (voyage) no. 038 Kuwasili tarehe 03/09/2018.
4. Meli: Hoegh Oslo safari (voyage) no. 79 Kuwasili tarehe 04/09/2018.
5. Meli: Prime Ace safari (voyage) no. 0035A Kuwasili tarehe 05/09/2018.
6. Meli: Morning Classic safari (voyage) no. 057 Kuwasili tarehe 09/09/2018.
7. Meli: Jinsei Maru safari (voyage) no. 03 Kuwasili tarehe 10/09/2018.
8. Meli: Lord Vishnu safari (voyage) no. 111 Kuwasili tarehe 14/09/2018.
9. Meli: Glovis Crown safari (voyage) no. 023 Kuwasili tarehe 14/09/2018.
10. Meli: Glovis Captain safari (voyage) no. 024 Kuwasili tarehe 16/09/2018.
11. Meli: Liberty Ace safari (voyage) no. 0110A Kuwasili tarehe 19/09/2018.
12. Meli: Victorious Ace voyage no. 0033A Kuwasili tarehe 20/09/2018.
13. Meli: Grand Quest safari (voyage) no. 08 Kuwasili tarehe 21/09/2018.
14. Meli: Morning Champion safari (voyage) no. (SUB) Kuwasili tarehe 22/09/2018.
15. Meli: Courageous Ace safari (voyage) no. 0124A Kuwasili tarehe 23/09/2018.
16. Meli: Grand Dolphin safari (voyage) no. 009 Kuwasili tarehe 24/09/2018.
17. Meli: Glovis Sirius safari (voyage) no. 015 Kuwasili tarehe 30/09/2018.
Kama unategemea gari kutoka mojawapo ya meli hizi, kwa huduma za clearing and forwarding, utawasiliana nasi kwa anuani hapa chini.
S.A Link Traders Ltd (Clearing & Forwarding Company)
2nd Floor-Elite City building (Opposite Harbor View),
Samora Avenue/Morogoro Road,
Dar es Salaam- Tanzania.
Email: info@salink.co.tz
Mob: +255718 866 651 ( Call or Whatsapp )
Tunafanya kazi kwa bei nzuri, ufanisi, haraka na kwa uaminifu mkubwa.
Karibuni sana.
Ni kweli kabisa mkuu. Kimsingi kwa sheria ya nchi yetu ya viwango, inataka kabla gari halijasafirishwa kutoka (pre-shipment) Japan linapaswa kukaguliwa na mawakala wa TBS walioko Japan na pindi linapokizi viwango vya ubora vya nchi yetu hupewa cheti cha ukaguzi (Motor vehicle Inspection Report) hivyo kua tayari kwa kusafirishwa kuja nchini. Pia pindi linapo feli ukaguzi hurudishwa ili likafanyiwe marekebisho yaliyoainishwa. Utaratibu huu ni mzuri sana maana hutusaidia kupata magari mtumba yenye ubora. Kwa hiyo mkuu vuta subira mpaka hiyo tarehe ili upate lenye viwango. Nime-attach mfano wa Motor vehicle Inspection Report.Zachaja hawa jamaa wanasema gari yangu imefeli ukaguzi kwa hiyo wanaitengeneza itakuwa tayari tar 21 September, ni kweli magari yanayokuja huku yanaweza kufeli ukaguzi ?
Safi sana hiiNi kweli kabisa mkuu. Kimsingi kwa sheria ya nchi yetu ya viwango, inataka kabla gari halijasafirishwa kutoka (pre-shipment) Japan linapaswa kukaguliwa na mawakala wa TBS walioko Japan na pindi linapokizi viwango vya ubora vya nchi yetu hupewa cheti cha ukaguzi (Motor vehicle Inspection Report) hivyo kua tayari kwa kusafirishwa kuja nchini. Pia pindi linapo feli ukaguzi hurudishwa ili likafanyiwe marekebisho yaliyoainishwa. Utaratibu huu ni mzuri sana maana hutusaidia kupata magari mtumba yenye ubora. Kwa hiyo mkuu vuta subira mpaka hiyo tarehe ili upate lenye viwango. Nime-attach mfano wa Motor vehicle Inspection Report.