mmewadadako
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 534
- 844
-Fremu zipo katika mfumo wa ghorofa chini na juu,ziko 12 zinaface barabara na baadhi zina watu tayari (kupangisha fremu moja ni 70 kwa mwezi)
-Nyuma ya fremu kuna vyumba vya kupangisha chumba na sebule partition 5 na kimoja master kinajitegemea ( bei ya kupangisha chumba na sebule ni elfu 80..ambapo kuna pair 5 za chumba na sebule)
-Ukubwa wa eneo ni square meter 900 pamepimwa tayari lakini hakuna hati
- Ni sehemu iliyochangamka na kuzungukwa na makazi ya watu
-Ni takribani m 800 kutoka barabara ya lami ya Kinyerezi to Mbezi mwisho
-Huduma muhimu zipo ( umeme na maji)...hakuna kushare meter
-Eneo ni Kinyerezi Kifuru
Bei: mil 150 (maongezi kidogo yapo)
Mawasiliano: 0765494845
Note; nyumba ni uwekezaji usiokua na risk kubwa na faida yake ni ya muda mrefu...
Karibu sana
-Nyuma ya fremu kuna vyumba vya kupangisha chumba na sebule partition 5 na kimoja master kinajitegemea ( bei ya kupangisha chumba na sebule ni elfu 80..ambapo kuna pair 5 za chumba na sebule)
-Ukubwa wa eneo ni square meter 900 pamepimwa tayari lakini hakuna hati
- Ni sehemu iliyochangamka na kuzungukwa na makazi ya watu
-Ni takribani m 800 kutoka barabara ya lami ya Kinyerezi to Mbezi mwisho
-Huduma muhimu zipo ( umeme na maji)...hakuna kushare meter
-Eneo ni Kinyerezi Kifuru
Bei: mil 150 (maongezi kidogo yapo)
Mawasiliano: 0765494845
Note; nyumba ni uwekezaji usiokua na risk kubwa na faida yake ni ya muda mrefu...
Karibu sana