House4Sale Fremu 12 na vyumba 11 vinauzwa mil 150 Kinyerezi Kifuru

House4Sale Fremu 12 na vyumba 11 vinauzwa mil 150 Kinyerezi Kifuru

Cost wise kama umejiridhisha na mmiliki ni nzuri kununua property ambayo iko kwenye process ya kutoka kwa hati..maana ukinunua property hio utabadili jina juu kwa juu hivyo hati itatoka kwa jina lako pasipo kuwa na gharama kubwa

ila ukinunua property ambayo ina hati tayari ukitaka kubadili umiliki ( property transfer) utaingia cost nyinginyingi na kubwa zaidi utatakiwa ulipie TRA kitu wanaita capital gain tax ( ambayo ni 10% ya thamani ya nyumba)
Dalili ya kula za uso asubuhi na mapema! Mauzo mema
 
Cost wise kama umejiridhisha na mmiliki ni nzuri kununua property ambayo iko kwenye process ya kutoka kwa hati..maana ukinunua property hio utabadili jina juu kwa juu hivyo hati itatoka kwa jina lako pasipo kuwa na gharama kubwa

ila ukinunua property ambayo ina hati tayari ukitaka kubadili umiliki ( property transfer) utaingia cost nyinginyingi na kubwa zaidi utatakiwa ulipie TRA kitu wanaita capital gain tax ( ambayo ni 10% ya thamani ya nyumba)
Ngoja nikung'ate sikio mkuu!! Unajua watu wengi huwa na mashaka kwa property zisizo na hati kwa sababu wengine wanahisi huenda mmiliki alishachukua mkopo benki, na benki husika ndo inashikilia hiyo hati!! Na kwa investment kubwa kama hiyo watu ndo lazima wazidi kupata mashaka kwamba how come unafanya investment yote hiyo kwenye kiwanja ambacho hakina hati?! Wakijiuliza hivyo tu, wengine wata-conclude kwamba HAIWEZEKANI, lazima hati alikuwa nayo lakini ipo kwa debtors!!

No offense, ni hayo tu!!! Mshauri mmiliki afuatilie hati akitaka kuuza kwa urahisi.
 
Ngoja nikung'ate sikio mkuu!! Unajua watu wengi huwa na mashaka kwa property zisizo na hati kwa sababu wengine wanahisi huenda mmiliki alishachukua mkopo benki, na benki husika ndo inashikilia hiyo hati!! Na kwa investment kubwa kama hiyo watu ndo lazima wazidi kupata mashaka kwamba how come unafanya investment yote hiyo kwenye kiwanja ambacho hakina hati?! Wakijiuliza hivyo tu, wengine wata-conclude kwamba HAIWEZEKANI, lazima hati alikuwa nayo lakini ipo kwa debtors!!

No offense, ni hayo tu!!! Mshauri mmiliki afuatilie hati akitaka kuuza kwa urahisi.
Mkuu kama mtu anania ya kununua akienda ofisi ya ardhi hawezi kujua kama kiwanja kilipata hati au hakikupata?
 
Ngoja nikung'ate sikio mkuu!! Unajua watu wengi huwa na mashaka kwa property zisizo na hati kwa sababu wengine wanahisi huenda mmiliki alishachukua mkopo benki, na benki husika ndo inashikilia hiyo hati!! Na kwa investment kubwa kama hiyo watu ndo lazima wazidi kupata mashaka kwamba how come unafanya investment yote hiyo kwenye kiwanja ambacho hakina hati?! Wakijiuliza hivyo tu, wengine wata-conclude kwamba HAIWEZEKANI, lazima hati alikuwa nayo lakini ipo kwa debtors!!

No offense, ni hayo tu!!! Mshauri mmiliki afuatilie hati akitaka kuuza kwa urahisi.
Unachokisema ni kweli kabisa mkuu,lakini kabla ya kununua tunashauri muhusika ajiridhishe na umiliki halali wa muuzaji

na siku hizi ni simple sana kujiridhisha na umiliki hata kama eneo limepimwa lakini halina hati,ukienda kwenye ofisi za mipango miji utaweza kuangalia maana kuna centralized system ambayo inaonesha eneo kama limepimwa na limepitishwa na wizara au ofisi ya ardhi ya kanda.

Kitu kingine ni kufanya tunaita "official search" ambapo unalipia shilingi 10000 kwenye ofisi za ardhi za manispaa na hapo utapata taarifa zote kuhusu eneo husika,baadhi ya taarifa hizo ni

-kama eneo limepimwa na lina hati halali,au kama halina hati ila liko kwenye process za kupatiwa hati

-kama kuna mapingamizi yoyote (mfano mke anaweza kuweka mapingamizi ili property isiuzwe)

-kama kuna kesi yoyote mahakamani au migogoro yoyote itaonekana pia

-kama property ina mkopo bank au madai yoyote n.k


Manunuzi ya kiwanja au nyumba sio kama gari,hivyo huwa tunamshauri mnunuzi afanye uhakiki wa umiliki kabla ya kununua. Issue ya kupigwa siku hizi ni kujitakia ndo maana umeona hizo kesi zimepungua sana maana kila kitu kiko wazi
 
Ngoja nikung'ate sikio mkuu!! Unajua watu wengi huwa na mashaka kwa property zisizo na hati kwa sababu wengine wanahisi huenda mmiliki alishachukua mkopo benki, na benki husika ndo inashikilia hiyo hati!! Na kwa investment kubwa kama hiyo watu ndo lazima wazidi kupata mashaka kwamba how come unafanya investment yote hiyo kwenye kiwanja ambacho hakina hati?! Wakijiuliza hivyo tu, wengine wata-conclude kwamba HAIWEZEKANI, lazima hati alikuwa nayo lakini ipo kwa debtors!!

No offense, ni hayo tu!!! Mshauri mmiliki afuatilie hati akitaka kuuza kwa urahisi.
Mi mwnyw nmepata mashaka,
Bei Ni ndogo mno kulinganisha na thaman ya asset.

Kuondoa hii shaka, atafute TU hati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cost wise kama umejiridhisha na mmiliki ni nzuri kununua property ambayo iko kwenye process ya kutoka kwa hati..maana ukinunua property hio utabadili jina juu kwa juu hivyo hati itatoka kwa jina lako pasipo kuwa na gharama kubwa

ila ukinunua property ambayo ina hati tayari ukitaka kubadili umiliki ( property transfer) utaingia cost nyinginyingi na kubwa zaidi utatakiwa ulipie TRA kitu wanaita capital gain tax ( ambayo ni 10% ya thamani ya nyumba)
hongera sana mkuu kwa maelezo mazuri na ya kisomi.
inaonesha ni jinsi gani hubahatishi kwenye fani yako
 
karibu sana mkuu
Nimeona jinsi unavyojitahidi kujibu maswali ki utalaamu ,Nami ntakutafuta nipo interested na maeneo ya Kinyerezi,Kifuru na hivi Ilala imekuwa Jiji la DSM ,huko mbeleni vitanisaidia
 
Back
Top Bottom