Click Hapa
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 479
- 206
Habari za jioni Wadau!
Miye ni Mjasiriamali nipo Mwanza, ktk pitapita zangu huku na huko kusaka fursa nimepita center moja huko vijijini imechangamka kweli, kwa kuwa ilikuwa mchana na kajua kalikuwa kamewaka ka kutosha ikabidi nile pozi sehemu ili angalau nipate soda au juice baridi, nilipouliza tu nikaambiwa vinywaji vilivyopo ni vya moto kwa kuwa center hiyo haina umeme, hapo hapo nikawa nimeiona fursa ya kuuza cold drinks center ile na kwa jinsi palivyochangamka najua nita-make tu.
Sasa naomba kwa yeyote mwenye kujua anisaidie ni wapi nitapata zile Fridge ama Freezer zinazotumia mafuta ya taa, na je ni bei gani zinauzwa na kwa size gani.
Mniwie radhi kwa maelezo marefu nimeyaeleza haya yote ili kuweka mambo sawa.
Natanguliza shukurani.
Miye ni Mjasiriamali nipo Mwanza, ktk pitapita zangu huku na huko kusaka fursa nimepita center moja huko vijijini imechangamka kweli, kwa kuwa ilikuwa mchana na kajua kalikuwa kamewaka ka kutosha ikabidi nile pozi sehemu ili angalau nipate soda au juice baridi, nilipouliza tu nikaambiwa vinywaji vilivyopo ni vya moto kwa kuwa center hiyo haina umeme, hapo hapo nikawa nimeiona fursa ya kuuza cold drinks center ile na kwa jinsi palivyochangamka najua nita-make tu.
Sasa naomba kwa yeyote mwenye kujua anisaidie ni wapi nitapata zile Fridge ama Freezer zinazotumia mafuta ya taa, na je ni bei gani zinauzwa na kwa size gani.
Mniwie radhi kwa maelezo marefu nimeyaeleza haya yote ili kuweka mambo sawa.
Natanguliza shukurani.