vidy_tz
Member
- Oct 13, 2018
- 42
- 152
- Thread starter
- #21
Tahadhari
Usilipe hela kabla hujaupata mzigo wengi hutumia Znz kutapeli watu. Ukishatuma hiyo hela utaipata fridge
Yeah ni kweli kabisa na wengi huwa wanatumia hyo njia kwasababu huona znz ni ngumu mtu kwnda kuanglia mzgo pia ndo maana wengi ukiwauliza location Znz kusudi ukaanglie mzigo wanakukwepa mwsho wa siku wanapotea , ila kama ww unahitaj kufika ofisin Znz Njoo Kisauni Airport karibu na mombasa then piga namba hiyo hapo juu utapelekwa moja kwa moja mpaka ofisini