Kwangu Mimi, shiboub alikuwa na umuhimu kuliko bwalya. Tatizo kubwa la bwalya Hana killing instincts, yaani anacheza Kama yuko mazoezini hatuko sharp, anageukia nyuma Kila wakati na Kila mpira anaoupata anataka kupaka rangi au kulazimisha kuucheza kwa mbwembwe
HUYU mchezaji anababisha timu yetu ikose kasi wakati wa kwenda mbele na ndiyo maana Kila Simba inapotaka kwenda mbele tunakuta wapinzani washakuwa wengi kwasababu yake
Lakini hili tatizo kocha anao uwezo wa kumbadili ili awe na pasi za haraka na kamwe chaguo lake la kwanza lisiwe kigeukia golini kwetu anapopata mpira
Sent from my TECNO B1p using
JamiiForums mobile app