Friendly match: Simba sc vs African sports

Ilikuwa awe Mwananchi lakini mkamuwahi. Kuleni faida yake
 
Mi huwa najiuliza,Hivi Simba huwa inadanganywa na nani katika kusajili na kuajiri mwalimu wa timu?

Mbona wenzetu wanajitahidi sana hata kipindi walichokuwa wakilia njaa timu haikuyumba sana?
 
Jana Zambia National Team walicheza bila kina Bwalya na Chama, ina maana hawa wachezaji hawako National Team?
 
Watasema msaliti au wewe Mwananchi,maana huwa hawakubali kukosolewa......kumbe ndiyo ukweli.......
 
Huwa wanacheza vzr wakicheza na Gwambina na Ihefu, mechi kubwa hawaziwezi,sio rahisi wao kuitwa National team.
Nilifikiri akiitwa "Mwamba wa Lusaka" means Lusaka yote wanamjua au wanamkubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…