Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Ndio mana mlishangilia sana ile droo ya tar 7Tukae tu kimya ase, machezaji mengi yameridhika kupita kiasi, yaani mchezaji anatembea uwanjani kabsaa, anapoteza mpira afu kukaba hataki, yaani michezajj mingi imekuwa mizigo haswa, hapana huyu kocha nop
Wale jamaa wanaijeria wanakuja lini chief?nataka nifue jezi yangu mapemaNi kwel, tukianza za kimataifa hatutashinda mechi hata moja
sahihisho-Mikia 0 african sport 0Simba 0 African Sport 0 full time
Ha ha ha sawa bhanasahihisho-Mikia 0 african sport 0
Ilikuwa awe Mwananchi lakini mkamuwahi. Kuleni faida yakeWanaSimba wenzangu tukubali kwamba huyu Bwalya tulilizwa na Senzo anazidiwa na Mukoko mbali mnooo, siyo mpambanaji Uwanjani. Ana mpira ule ule aliokuwa nao Shiboub, mara elfu 1 tungeendelea na Shiboub kuliko huyu konokono Bwalya. Hana ubunifu wa kuisaidia timu, halafu nashangaa kocha anamwacha nje Kahata anamchezesha huyu Bwalya. Anyway mim binafsi sijamuelewa kabisa, wale mliomwelewa mnisamehe.
Kahata pole sana kwa masaibu unayopitia lkn wakat utaongea
Sahihisho- Ruzuku FC 0-0 African Sportssahihisho-Mikia 0 african sport 0
Jana Zambia National Team walicheza bila kina Bwalya na Chama, ina maana hawa wachezaji hawako National Team?Kwangu Mimi, shiboub alikuwa na umuhimu kuliko bwalya. Tatizo kubwa la bwalya Hana killing instincts, yaani anacheza Kama yuko mazoezini hatuko sharp, anageukia nyuma Kila wakati na Kila mpira anaoupata anataka kupaka rangi au kulazimisha kuucheza kwa mbwembwe
HUYU mchezaji anababisha timu yetu ikose kasi wakati wa kwenda mbele na ndiyo maana Kila Simba inapotaka kwenda mbele tunakuta wapinzani washakuwa wengi kwasababu yake
Lakini hili tatizo kocha anao uwezo wa kumbadili ili awe na pasi za haraka na kamwe chaguo lake la kwanza lisiwe kigeukia golini kwetu anapopata mpira
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Huyo ndio pumba kabisa. Kazi kujiangushaangusha tu. Mpira umemshinda, maana kila siku anaonekana club na mademu Wanyonya Damu.Morrisson hakuwepo?
Hawapo ila sisi na viherehere vyetu tunawaimba kama taarabu.Jana Zambia National Team walicheza bila kina Bwalya na Chama, ina maana hawa wachezaji hawako National Team?
Watasema msaliti au wewe Mwananchi,maana huwa hawakubali kukosolewa......kumbe ndiyo ukweli.......WanaSimba wenzangu tukubali kwamba huyu Bwalya tulilizwa na Senzo anazidiwa na Mukoko mbali mnooo, siyo mpambanaji Uwanjani. Ana mpira ule ule aliokuwa nao Shiboub, mara elfu 1 tungeendelea na Shiboub kuliko huyu konokono Bwalya. Hana ubunifu wa kuisaidia timu, halafu nashangaa kocha anamwacha nje Kahata anamchezesha huyu Bwalya. Anyway mim binafsi sijamuelewa kabisa, wale mliomwelewa mnisamehe.
Kahata pole sana kwa masaibu unayopitia lkn wakat utaongea
Nilifikiri akiitwa "Mwamba wa Lusaka" means Lusaka yote wanamjua au wanamkubali.Huwa wanacheza vzr wakicheza na Gwambina na Ihefu, mechi kubwa hawaziwezi,sio rahisi wao kuitwa National team.
Labda lusaka ya kibondoNilifikiri akiitwa "Mwamba wa Lusaka" means Lusaka yote wanamjua au wanamkubali.