TheMnyonge
JF-Expert Member
- Mar 25, 2022
- 738
- 1,886
Duuh "feases" ndiyo nini tena hiyo mkuuGood smiling feases
Mbona kwa mshtuko, unaogopa nini?Aiseee!! anyway, "za kuambiwa changanya na zako!!"
Madomo zegeKesho tutakuwa na mahafali ya postgraduates hapa UDSM, mimi na rafiki yangu (foreigner) tutakuwa na sherehe fupi majira ya jioni, bahati mbaya hatuna marafiki wa kujumuika nasi kutokana na interaction ndogo kwenye physical environment!
Kwa walio tayari, (walau 3 females) walio na hobby ya ucheshi na wana good smiling faces, karibuni tushiriki pamoja, sisi tutakuwa 4 tunataka kampani ya wadada 3)
Note. Itakuwa kwa ajili ya kufurahi, (kula kunywa chochote) kwa gharama zetu, baada ya event kutakuwa na nauli za uber...(strictly: sio sexual event), yeyote atakayekuwa tayari karibu PM!
Hahahaaaaa...daahMadomo zege
Huu sio mtongozo aisee, ni social interaction tu...nayo inataka kutongozana?Madomo zege
Karibu sana best, tule tunywe na kurejea mahome tukiwa salama salmin...Aisee
Hahahaaa, hakuna mambo za sex, kula kunywa kufurahi na kurejea home...
Smile face sijajaaliwa mie...nimezoea makasiriko na wanafunz wanguHahahaaa, hakuna mambo za sex, kula kunywa kufurahi na kurejea home...
"Naumwa sana njoo unijulie Hali tu, siwezi kukufanya chochote, au huniamini kuwa naumwa?" Subutuuuuu..(strictly: sio sexual event), yeyote atakayekuwa tayari karibu PM
Kelsea Lizzy kuna ofa huku, cha msingi ni kusmile tuuKesho tutakuwa na mahafali ya postgraduates hapa UDSM, mimi na rafiki yangu (foreigner) tutakuwa na sherehe fupi majira ya jioni, bahati mbaya hatuna marafiki wa kujumuika nasi kutokana na interaction ndogo kwenye physical environment!
Kwa walio tayari, (walau 3 females) walio na hobby ya ucheshi na wana good smiling faces, karibuni tushiriki pamoja, sisi tutakuwa 4 tunataka kampani ya wadada 3)
Note. Itakuwa kwa ajili ya kufurahi, (kula kunywa chochote) kwa gharama zetu, baada ya event kutakuwa na nauli za uber...(strictly: sio sexual event), yeyote atakayekuwa tayari karibu PM!
Hahahaaa, hakuna mambo za sex, kula kunywa kufurahi na kurejea home...
Hahahaa, na ilivyo na jicho kali sasa...Smile face sijajaaliwa mie...nimezoea makasiriko na wanafunz wangu
Hahahaaaaaaaa, aisee sisi hatupo huko kabisaaa"Naumwa sana njoo unijulie Hali tu, siwezi kukufanya chochote, au huniamini kuwa naumwa?" Subutuuuuu