Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Zipo taarifa kuwa kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya kundi la Friends of Simba kuhusu viongozi waliochaguliwa, wapo waliosema wanaunga mkono viongozi anaowataka mwekezaji na wengine wanaona maslahi yao yanapotea hivyo wanataka kupandikiza watu wao ili maisha yaende.
Zipo taarifa mbaya hata gemu na Dodoma FC tuliyoshinda kwa bao 1 0 baadhi yao walikutana usiku kutengeneza mazingira tupoteze mchezo ule, kwa kweli najiuliza kama kweli hawa ni wapenzi na wanachama wa Simba, haya maelezo sio yangu ameyatoa Hassan Hassanoo Mpiganaji wakati akiongea na wanachama wa Simba pale Dodoma.
MO DEwji aliweka masharti kwa uongozi kuwa fulani na fulani ndio anawahitaji mwenye uongozi, wasiposhinda hao hawezi kuingiza mpunga wake, sasa kuna gogoro linafukuta na kuna tetesi mechi na Singida tutapigishwa shoti sio ya nchi hii ili tu Mangungu aonekane hafai.
Sio vzr ndugu friends of Simba, mnawakosesha usingizi wanachama, mashabiki na wapenzi.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Zipo taarifa mbaya hata gemu na Dodoma FC tuliyoshinda kwa bao 1 0 baadhi yao walikutana usiku kutengeneza mazingira tupoteze mchezo ule, kwa kweli najiuliza kama kweli hawa ni wapenzi na wanachama wa Simba, haya maelezo sio yangu ameyatoa Hassan Hassanoo Mpiganaji wakati akiongea na wanachama wa Simba pale Dodoma.
MO DEwji aliweka masharti kwa uongozi kuwa fulani na fulani ndio anawahitaji mwenye uongozi, wasiposhinda hao hawezi kuingiza mpunga wake, sasa kuna gogoro linafukuta na kuna tetesi mechi na Singida tutapigishwa shoti sio ya nchi hii ili tu Mangungu aonekane hafai.
Sio vzr ndugu friends of Simba, mnawakosesha usingizi wanachama, mashabiki na wapenzi.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app