Pics
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 240
- 181
Kila mnafanya vibaya mnatafuta mchawi.
Kila Yanga inaposhinda mnasingizia Yanga bahasha.
Tatizo timu haina hela ombaomba kwa MO.
Ebu tatueni tatizo la mapatoya Simba kuwa bilioni3.9.zama za ufadhili na bakuli zimeisha.
Sasa mwendo wa udhamini katika mikataba ya kweli sio feki
Kila Yanga inaposhinda mnasingizia Yanga bahasha.
Tatizo timu haina hela ombaomba kwa MO.
Ebu tatueni tatizo la mapatoya Simba kuwa bilioni3.9.zama za ufadhili na bakuli zimeisha.
Sasa mwendo wa udhamini katika mikataba ya kweli sio feki