Kikubwa nini? [emoji23][emoji23][emoji23]Ajiandae pia kubadilishwa jina na kuitwa Mama barafu[emoji23]
Ila kikubwa pesa (halali) mbele kama tai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akizingatia haya uhakika, itamwingizia kipatoBig Yes inawezekana muhimu ni nidhamu katika biashara,usafi,ubunifu na kujua soko lako,.hiyo biashara ni nzuri mm niliifanya sana na bado nikipata nafasi nitaifanya kwa ustadi zaidi,.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kikubwa nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mangi bwana
Italipa vizuri tu kama huyo mlengwa atakuwa sehemu ambayo kuna wateha wa hivyo vitu, yeye ni mchakalikaji yaani kutafuta wateja na vile vile yupo around muda anapohitajika. Pamoja na Friji mnunulie cool box ili kama anapata mtu wakumzungushia, anakuwa natoa juice in the morning then someone can pass through places where people normaly have mitoli na soup wanaweza kununua na juice mradi iwe original siyo za kopo. Mnunulie na blender ya kutengeneza juice au mixer. You wont regret.Wakuu, nimejibana nimepata shilingi 1million mke wangu amenishauri nimemnunulie friji kuanzia laki 5-8 pesa itakayo baki laki 2 afanye kama mtaji wa kuuza barafu, Ice cream na juice. Naomba ushauri wenu je hii biashara inaweza inaweza zaa matunda na kurudisha hiyo pesa? Natanguliza shukrani.
Aaah! Sawa. Naomba uninunulie friji ili nianze kuuza mbege ya baridi hapa Kimara[emoji6][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kikubwa pumzi ya uhai ajuza Nkurunzinza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Oh...kipenzi changu nikutakie kheri ya mwaka kesho 2019...Akizingatia haya uhakika, itamwingizia kipato
Atauzia nje ya gate ila kama hana gate hapo sasa.Kero ya kuuza barafu ni watu kuzoea nyumba yako
Asante dear!Oh...kipenzi changu nikutakie kheri ya mwaka kesho 2019...
[emoji23] [emoji23]Aaah! Sawa. Naomba uninunulie friji ili nianze kuuza mbege ya baridi hapa Kimara[emoji6]
Amina mamyto,.Asante dear!
Na kwako pia mamy.
Sema tu chochote kile, anaweza kupata cha kumshauri/kumsaidia ubavu wake kuhusu hiyo biashara.
Ndo maana nakukubali kikongwe wangu.[emoji8][emoji23] [emoji23]
[emoji122] [emoji122]
That's my ajuza.
Hilo hesabu limetimia, niombee tu nirudi mjini salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, naona sasa umeamua kunizibia riziki humu, mimi ndo kwanza mwakani naingia kidato cha 2.Ndo maana nakukubali kikongwe wangu.[emoji8]
Yes iko poaWakuu, nimejibana nimepata shilingi 1million mke wangu amenishauri nimemnunulie friji kuanzia laki 5-8 pesa itakayo baki laki 2 afanye kama mtaji wa kuuza barafu, Ice cream na juice. Naomba ushauri wenu je hii biashara inaweza inaweza zaa matunda na kurudisha hiyo pesa? Natanguliza shukrani.
Kero ya kuuza barafu ni watu kuzoea nyumba yako
Nikufungulie wewe mpenzi?Ndio. Inaweza na zaidi ya hapo
Kikubwa awe tayari anawajua wateja wa kununua..
Inalipa
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahhaaaKero ya kuuza barafu ni watu kuzoea nyumba yako
Hata usijali 'serengeti boy wangu' riziki yako ya kung'oa watoto wakali wa JF mwaka 2019 iko pale pale maana wanajua fika kuwa nakutania wewe ungali mwanafunzi wa darasa la 7 'D'Aisee, naona sasa umeamua kunizibia riziki humu, mimi ndo kwanza mwakani naingia kidato cha 2.
Napenda sana mwanamke anayejiongeza kama mke wa mleta mada, ndio maana nampigia debe proposal yake ipitishwe na mwezeshaji wake.
Sent using Jamii Forums mobile app