Friji inaweza kuwa chanzo cha mapato kwa mke nyumbani?

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huku ndo kunaitwa kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.

Hakika amepata mke mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wazo zuri hilo la Biashara. Pia hutegemea na aina ya wateja wanaowazunguka. Mfano kama mnakaa karibu na bahari - wauza samaki watakuwa wateja wenu wakubwa wa mabarafu. Au kama mpo karibu na shule ya msingi - mtapata wateja wengi wa ice cream. Chamsingi kabla ya kuanzisha biashara fikiria kwanza na soko la bidhaa zako lazima utatoboa.
 

Nakushukuru sana Mkuu, tayari nimemnunulia brenda aina ya Philips mpya 800W, na hii brenda ndio imempa sana hamasa na hii biashara aliamua kubuni maana huhitaji wa bidhaa hizo hasa barafu ni mkubwa sana na sikuweza kufikiria hilo kwa kuwa friji nilalotumia ni la kupooza tu.
 
Ndio Mkuu, tuko jirani sana na bahari. Unaonaje nikichukua friza badala ya friji ambalo ni la kawaida lenye freezer na sehemu ya kupooza yaani (friji)
 
Inalipa Bila Shaka
Mimi Nilinunua Dogo Mpaka Sasa Ana Millions 1.3
Hiyo Itakulipa Punde
 
Ukianza kuona elfu kumi inakuja kununua ashikirimu iwekee umakini sana hela za barafu zinajulikana maana itakosekana jenji atafata dukani atafatwa nyuma nyuma na kuombwa namba na kuambiwa keep chenji barafu anaramba inaisha wew umebaki sebleni na fridge linakuungurumia hapo

Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
 
Hahaha huku dar
Sasa baby niandike mipango yangu hapa jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hujawahi hata kujifunza au kujishikiza kwa mtu kwenye hii biashara,

Mi nilitaka nifungue mghahawa wa kisasa, sema sina uzoefu na usimamiz ndo mzk....

Ulinishawishi wazo lako, sema na ww upo km mm.....

At least ungekuwa na uzoefu nayo tungeingia partnership

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…