Frolent Ibenge awasainisha Kisinda na Mukoko Yanga SC

Wachezaji wawili kwa 430M. Ina maana ukiongeza mmoja unapata thamani ya Luis Miquisson

Luis hajazidi hata mil200 ya Kitanzania.

Naona umeshupaza shingo tazama stats zao mara vile mara hivi. Tuseme hawawezi hata kupiga danadana.
 
Hivi hawanaga sehemu nzuri ya kukaa wakati wanawasainisha?kila saini wanafanya kwenye makorido na nyumba za watu ndo maana mikataba inakuwa feki
Soka la bongo ufauri mwingi ndiyo maana mkataba unafungiwa hotelini
 
Mbona munaanza kunyampanyapa mapema! Mnajifanya mna hela kutegemea wazee waliomaliza mikataba! Sisi tusajiri mchezaji tubayemtaka sio kusubiri waliotemwa na timu zao! Kuweni na adabu mikia
 
Mbona munaanza kunyampanyapa mapema! Mnajifanya mna hela kutegemea wazee waliomaliza mikataba! Sisi tusajiri mchezaji tubayemtaka sio kusubiri waliotemwa na timu zao! Kuweni na adabu mikia

Hapana Mtani.

Weka pembeni utopolo wako then fikiria kwa jicho la 3. simba tunahitaji experienced plyers hivi sasa. ndio manaa wachezaji wote tulio kamilisha kuwasajili takribani asilimia 90 wana uzoefu wa michuano ya kimataifa. Mashabiki wa simba tuna matumaini ya kuchukua kombe la klabu bingwa msimu huu, wewe ngoja uone.
 
Soka la bongo ufauri mwingi ndiyo maana mkataba unafungiwa hotelini

Hakuna Klabu ambayo haijawahi kusainisha mkataba hotelini, masebuleni wala bafuni. Sote tumewahi wala hakuna wa kumcheka mwingine. Tuzungumze habari ya soka unazi tuuweke pembeni.
 
Hakuna Klabu ambayo haijawahi kusainisha mkataba hotelini, masebuleni wala bafuni. Sote tumewahi wala hakuna wa kumcheka mwingine. Tuzungumze habari ya soka unazi tuuweke pembeni.
Wapi nmeweka unazi wachezaji wengi wanafumuliwa na makocha wazawa
 
Hawa hawana tofauti na moringa

Utopolo wameamka msimu huu, naona wako makini kinoma. Hawakosei.

Huyo Tuisila Kisinda ndio alianza mwanzo mwisho kipindi AS Vita inatugonga bao 5 , pia alicheza mwanzo mwisho hapa Dar. Then huyo Mukoko nasikia hata sisi Simba SC tulimuhitaji, lakini tukaenda kumchukua yule wa Power Dynamo ambaye ana uzoefu mkubwa kuliko Mukoko kwenye mehi za kimataifa.

Hongereni Utopolo.
 
Power dynamo uliona lini ikishiriki club bingwa? Utaweza linganisha na As vita ambao kila mwaka wapo?
Yule hata mechi za timu ya taifa kacheza mechi 3 tu.
 
Hahahaha kwa hao wazee msahau!
 
Luis hajazidi hata mil200 ya Kitanzania.

Naona umeshupaza shingo tazama stats zao mara vile mara hivi. Tuseme hawawezi hata kupiga danadana.
Haka kajamaa kambea na kaongo, tena katuambie Mwamedi kashakusanya shilingi ngapi kwenye mauzo ya jezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…