From JF to Me!

From JF to Me!

Wewe chekelea tu busha limekuwa kubwa mpaka linapakizwa kwenye toroli...... APOLLO HOSPITAL-INDIA inakuhusu mkuu!
Chini ya uangalizi wa Lady doctor, busha ni kipele tu. Atakitumbua kwa kucha. Thieta inawahusu nyie wenye majipu......
 
Last edited by a moderator:

utajibeba we mzee
aache vijana wanaojua kujipulizia unyunyu
awe na wewe babu busu lako ugoro mtupu?, Lady doctor hebu kuja
uniambie kama umemzimia babu!!
 
Last edited by a moderator:
Afu wewe.... Una kesi ya kijibu!

Mhhhhh babu mbona wantisha mjukuu wa mwenzioo.....kesi gani teena???? I tasikilizwa mahakama gani???? Na aliyeifungua hiyo kesi dhidi yangu ni nani??? Na je madai yake yanahusu nini??? Details please nianze kutafuta wakili mapemaaa
 
Back
Top Bottom