From NECTA to NACTE

John sky

Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
34
Reaction score
1
Wana jf et huu mfumo wa nacte utaanza mwaka gan kutumika kwenye vyuo vya ualimu?
 
Wana jf et huu mfumo wa nacte utaanza mwaka gan kutumika kwenye vyuo vya ualimu?

mwaka huu july japo c vyuo vyote. wataanza na vitano then nxt yr wanamalizia na vyote. hivyo 5 cjafahamu ni zp bado
 
Kwani hiyo NACTE itakuwa na faida gani kwa wanachuo na kwa upande Wa wakufunzi?
 
mwaka huu july japo c vyuo vyote. wataanza na vitano then nxt yr wanamalizia na vyote. hivyo 5 cjafahamu ni zp bado

Kwa io hawa wanaoingia mwaka wa pili hyo july nao wanahusika humo au wanaanza na wa mwaka wa kwanza?
 
kwa jins ninavyofaham nacte itaanz kwa acdmc year 2014/15 kwa ngazi ya diploma. Na itawahusu 1st year 2.
 
Kwani hiyo NACTE itakuwa na faida gani kwa wanachuo na kwa upande Wa wakufunzi?

kila m2 anawez kuwa na jibu tofauti kwa atakavyoiona, ila kwa upande wa wakufunz watajifanya kama wafalme kila ki2 watataka kiende kama wanavyotaka, ila wanachuo watakuwa wanapata adha xan...na mwanachuo atapata matokeo mazur pale 2 hana choko na mkufnz.
 
kwa jins ninavyofaham nacte itaanz kwa acdmc year 2014/15 kwa ngazi ya diploma. Na itawahusu 1st year 2.

una haraka ya kwenda wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…