FROM: Series kali sana ya kutisha

FROM: Series kali sana ya kutisha

Ndege iliyobeba wanafunzi ilidondoka kwenye msitu mkubwa wakashindwa kutoka kutokana na mauzauza ya kwenye msitu huo, ila kuna waliweza kutoka. Sasa dunia inawauliza waliwezaje angali wengine wamekufa? (Hiyo ni siri nzito sana baina yao wanafunzi, na hapo wameshakuwa wakubwa wengine wameoa wengine wamelewa)
Ngoja niiweke kwenye list
 
Ndege iliyobeba wanafunzi ilidondoka kwenye msitu mkubwa wakashindwa kutoka kutokana na mauzauza ya kwenye msitu huo, ila kuna waliweza kutoka. Sasa dunia inawauliza waliwezaje angali wengine wamekufa? (Hiyo ni siri nzito sana baina yao wanafunzi, na hapo wameshakuwa wakubwa wengine wameoa wengine wamelewa)
Mkuu nadhan umechanganya kidgo,hii unayoongelea hapa ni yellowjackets
 
Duh
Kumbe kuna season 2?
Hii ni bonge la series na soundtrack yake imemifanya niutafute wimbo. Bonge la meaning
 
Ebwana eeeh itakuwa kali hiyoo[emoji119][emoji119][emoji119]
 
IMG_2930.jpg

Je tabitha atakumbuka aliko toka?je ataweza kurudi kuwaokoa wenzake??
 
napenda za kutisha zaidi kama zile za kina santamigo pandamunion
 
Series za namna hii huwa zinanikosha sana. Ngoja niitafute nikoshe macho.
 
Series inahusu mji mdogo ambao ukijichanganya tu kuingia unashindwa kutoka yaani unakua umekwama na huwezi kuondoka kwa namna yoyote.

Na balaa zaidi ni usiku kuna viumbr wanakuja, haitakiwi kuacha sehemu yoyote wazi kwenye nyumba yako. Mzigo una seasons 02 ambazo ni complete.

Cha zaidi nilichokipenda ni soundtrack ya hii movie ni kawimbo flani hivi katamu sana

CC: Fahamu movies IG View attachment 2669903

Kwenye sound track umenibamba[emoji23] kile ka wimbo anaelezea kipind alipokuwa mdogo anamuliza mzee kuhusu…… sasa ameshakuwa mtu mzima na watoto sasa watoto wanamuliza yeye kuhusu…….[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom