Pagani Zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 685
- 468
Ooh me napenda za kutishaGangs of london sio series ya kutisha,inahusiana na makundi ya wahuni wa mji wa london kwenye umafia,drugs nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh me napenda za kutishaGangs of london sio series ya kutisha,inahusiana na makundi ya wahuni wa mji wa london kwenye umafia,drugs nk
Ngoja niiweke kwenye listNdege iliyobeba wanafunzi ilidondoka kwenye msitu mkubwa wakashindwa kutoka kutokana na mauzauza ya kwenye msitu huo, ila kuna waliweza kutoka. Sasa dunia inawauliza waliwezaje angali wengine wamekufa? (Hiyo ni siri nzito sana baina yao wanafunzi, na hapo wameshakuwa wakubwa wengine wameoa wengine wamelewa)
Mkuu nadhan umechanganya kidgo,hii unayoongelea hapa ni yellowjacketsNdege iliyobeba wanafunzi ilidondoka kwenye msitu mkubwa wakashindwa kutoka kutokana na mauzauza ya kwenye msitu huo, ila kuna waliweza kutoka. Sasa dunia inawauliza waliwezaje angali wengine wamekufa? (Hiyo ni siri nzito sana baina yao wanafunzi, na hapo wameshakuwa wakubwa wengine wameoa wengine wamelewa)
Mkuu nadhan umechanganya kidgo,hii unayoongelea hapa ni yellowjackets
Ahsante sanaRings of power
The night agent
Citadel
Shadow and borne
Gangs of london
Tafuta hizo utanishukuru
achana nayo ni mbovu sanaNgoja niiweke kwenye list
Yani ishu nzima iliharibikia hapaView attachment 2680815
Je tabitha atakumbuka aliko toka?je ataweza kurudi kuwaokoa wenzake??
achana nayo ni mbovu sana
kwa maoni yangu
Series inahusu mji mdogo ambao ukijichanganya tu kuingia unashindwa kutoka yaani unakua umekwama na huwezi kuondoka kwa namna yoyote.
Na balaa zaidi ni usiku kuna viumbr wanakuja, haitakiwi kuacha sehemu yoyote wazi kwenye nyumba yako. Mzigo una seasons 02 ambazo ni complete.
Cha zaidi nilichokipenda ni soundtrack ya hii movie ni kawimbo flani hivi katamu sana
CC: Fahamu movies IG View attachment 2669903