DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
R.madrid kaiheshimisha LALIGA,Ukweli ulio wazi, [emoji1022] haina team za kuchachafya UEFA. Bado sanaaaaa
Hadi Barcelona waliwapa pongezi Sana Madrid kwa ushindi.
Waingereza msimu uliopita kuingia wenyewe fainali, na msimu huu kuingiza timu 3 nusu fainali walikua na makelele mno[emoji4]