Hapo Napo unajiona mjanja [emoji23]Simba wanacheza lini nusu fainali yao mkuu
😅Simba wanacheza lini nusu fainali yao mkuu
Yupo utamuonaHivi Sharulile bado yupo ?
Na hapo wanaombea Mamelodi akandwe leo hili wajifariji kuwa walicheza na timu boraMakolo wametoa macho kama walikuwa hawashiriki vile, mwakarobo fc
Unataka kusema Raja Casablanca na Zamelek wao ni pumba grade ya mwisho ukilinganisha na Mwakarobo ?Zile pumba grade ya mwisho kabisa hata kushiriki hazikushiriki
MajeruhiHivi Sharulile bado yupo ?