Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Wanathiimbaaa!🤣🤣🤣🤣🤣Simba wanacheza lini nusu fainali yao mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanathiimbaaa!🤣🤣🤣🤣🤣Simba wanacheza lini nusu fainali yao mkuu
hv dstv wanaonesha?Hii mechi Azam tv wanaonesha kupitia channel ipi?
Kama hivyo ni sawa ,uzuri mechi za football bado zinaendelea hapo pumba na mchele zutazidi kujitenga na michuano ya CAF bado ipo hapo aibu tutaziona zaidi msimu huu na tarehe 5 itakuwa episode ya kwanza kwa haya niliyoyaandika..Zote ni pumba hizo including you
😳😳😳😳😳😳😳😳niambie baby wangu
K24 na Rwanda TVhv dstv wanaonesha?
Timu zinazocheza tarehe 5 hazijakutana mwaka huu?Kama hivyo ni sawa ,uzuri mechi za football bado zinaendelea hapo pumba na mchele zutazidi kujitenga na michuano ya CAF bado ipo hapo aibu tutaziona zaidi msimu huu na tarehe 5 itakuwa episode ya kwanza kwa haya niliyoyaandika..
Umechanganya files Sina baby jf asee !baby unashangaa nini tenaa
Jamani game ikianza na kama inaonesha dstv mtaniambia nikimbie homeK24 na Rwanda TV
Ndo wanaingiaJamani game ikianza na kama inaonesha dstv mtaniambia nikimbie home
Mpira umehamia tz ni sisi kuamua tutake chance na kugeuza kuwa kituo Cha mpira kusini mwa jangwa la Sahara au tuache Rwanda wachukue nafasiMtu anifahamishe kwann kwenye hii michuano nchi zingine mashabiki uwanjani hawajai ila huku kwetu uwanja unajaa
tamuuuuu japo naona quality cyoMamelod kaanzia home duh haya wazee wa dstv kifurush cha 10k chanel 376 gem on
Chanel 274 na Rwanda?Ndo wanaingia
Hawaonyesh ipo 376 tuChanel 274 na Rwanda?
[emoji38]uchokoziSimba lini mkuu
376 DstvHawaonyesh ipo 376 tu