XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Hapana pitch itachoka mapemaMechi zao za Group stage wacheze hapa kwa Mkapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana pitch itachoka mapemaMechi zao za Group stage wacheze hapa kwa Mkapa
Free boti?Aweke free boti vinginevyo hatoamini
Hawa hela haoMashabiki wa yanga kwa kupenda vya bure, huwezi amini wamekaribia kujaza uwanja hapa
Halafu wakitoka hapo wanakuja hapa kufungua nyuzi za kuyaponda mashindano na timu zinazoshiriki... Sijui wana akili gani hawaMashabiki wa yanga kwa kupenda vya bure, huwezi amini wamekaribia kujaza uwanja hapa
Nahofia uwanja kufungwa tena kupisha marekebisho maana utatumika sana back to backSi wanalipia kwani bure?
Sema hoja ni kuwa kutakuwa na mbanano wa ratiba
Kwasababu kila timu itakuwa bize na uwanja
[emoji23][emoji23][emoji23] hizo nyimbo zinazoimbwa tu humo uwanjani unajua kabisa ni wao na bado watabishaHalafu wakitoka hapo wanakuja hapa kufungua nyuzi za kuyaponda mashindano na timu zinazoshiriki... Sijui wana akili gani hawa
Mbona tumefurahia droo yenu hatujawaombea baya mpigwe wala mshinde........ Droo tu mashindano tunaendelea na wengine kwani ipo timu mojaHalafu wakitoka hapo wanakuja hapa kufungua nyuzi za kuyaponda mashindano na timu zinazoshiriki... Sijui wana akili gani hawa