Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Yanga ni kama Mandonga.Wakikujibu nistue
Wana profesa pimbi wa mpira au hujui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nabi ni profesa sasa aje kwa wajinga hawezi ...wana simba hawa wala si wa kushauri sisi acha tukimbize mwizi kimya kimya wakija kushtuka tumeshachukua kombe la club bingwa africa ndo watajua hawajui.Yanga waje msimbaz tuwape drasa la kimataifa, haliwezkan unataka kushirik mechi za kimataifa halafu unaweka Mambo kigambon halafu unacheza na friend rangers kwelii?? Mdomo mwingi kweli, aziz ufunguo, sijui Joyce Sasa yote ya Nini?
Mpira ni science karibun darasan..
Mpira wa bongo uchawi mwingi, na yanga ndio kubwa la uchawi, hili timu la yanga tff walifute kabisa Ni wizard club, 😂Labda wanalogwa wakiwa hapa. Maana Wabongo kwa ulozi ni komesha
dah..!!Yanga mnaonaje? Sisi twende Sudan [emoji1232] kutetea taifa, nyinyi mcheze na de agosto hapa taifa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nipe mwaka kenge wewe habari za sijui mpira za Nini.. inawezekana nimeanza kushabikia kabla hujazaliwa.Hujui mpira wewe umeanza kushabikia mpira mwaka huu.
FT: Cd de Agosto 2-6 Namungo FC
Ubabanduliwa wewe siyo bure.Nipe mwaka kenge wewe habari za sijui mpira za Nini.. inawezekana nimeanza kushabikia kabla hujazaliwa.
Nabi alikuwa anatumia pesa zake nyingi kwenye viingilio kwenye mechi za Simba ambazo walikuwa wanacheza kimataifaWana profesa pimbi wa mpira au hujui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nabi ni profesa sasa aje kwa wajinga hawezi ...wana simba hawa wala si wa kushauri sisi acha tukimbize mwizi kimya kimya wakija kushtuka tumeshachukua kombe la club bingwa africa ndo watajua hawajui.
kwikwikwikwi
Ila we bro weweeeee
Una kesi na Azizi ,