FT: Al Ahly 1-0 Esperance de Tunis | CAFCL 2nd Leg Final | (Agg 1-0). AL Ahly Abeba ubingwa 25. 5. 2024

FT: Al Ahly 1-0 Esperance de Tunis | CAFCL 2nd Leg Final | (Agg 1-0). AL Ahly Abeba ubingwa 25. 5. 2024

Baada ya kutokea kwa yanga imetokea kwa Esperance dakika za lala Salama baada ya kunyimwa na refa haki ya matumuzi ya var baada ya mchezaji wao kufanyiwa madhambi ndani ya penalt box .
Ama kweli ni nafuu marefa wa ndondo cup kuliko marefa wa caf !
 
Mashindano ya hovyo sana haya,et fainali inachezwa mechi 2 hovyo hovyo.

Lakini pia yapo biased sn
Asia na miundo mbinu Bora waliyo nayo bado ni 2
Ni Ulaya pekee ambapo Wana final Moja tena kwenye neutral ground
Binafsi nadhani team zijipange zaidi ili kushinda hili kombe Ahly hata Ile hali ya mashabiki inakufunga kabla hujafungwa na hawajaingia Bure
Njoo Dar Sasa yanga akikabidhiwa ubingwa uone mashabiki
 
Baada ya kutokea kwa yanga imetokea kwa Esperance dakika za lala Salama baada ya kunyimwa na refa haki ya matumuzi ya var baada ya mchezaji wao kufanyiwa madhambi ndani ya penalt box .
Ama kweli ni nafuu marefa wa ndondo cup kuliko marefa wa caf !
Hili tukio nilidhani tumeliona wachache. Haya mashindano kubebana ni kwingi sana
 
Baada ya kutokea kwa yanga imetokea kwa Esperance dakika za lala Salama baada ya kunyimwa na refa haki ya matumuzi ya var baada ya mchezaji wao kufanyiwa madhambi ndani ya penalt box .
Ama kweli ni nafuu marefa wa ndondo cup kuliko marefa wa caf !
Haikuwa penalty
 
Mashindano ya hovyo sana haya,et fainali inachezwa mechi 2 hovyo hovyo.

Lakini pia yapo biased sn
Raha ya mpira watu waingie uwanjani. Ulaya wanaweza fainali 1 sababu kwao mashabiki wana nguvu ya kifedha.
Wanasafiri kuisapoti timu yao na wanajaa uwanjani haijalishi wanachezea wapi. Pia hata mashabiki wa mpira mahali fainali inapochezwa wanaingia pia.
 
Baada ya kutokea kwa yanga imetokea kwa Esperance dakika za lala Salama baada ya kunyimwa na refa haki ya matumuzi ya var baada ya mchezaji wao kufanyiwa madhambi ndani ya penalt box .
Ama kweli ni nafuu marefa wa ndondo cup kuliko marefa wa caf !
Lile tukio mwanzo hata mimi nilifikiri ni penalty lakini waliporudia nikaona vizuri kuwa haikua penalty. Beki alianza na mpira.
 
Asia na miundo mbinu Bora waliyo nayo bado ni 2
Ni Ulaya pekee ambapo Wana final Moja tena kwenye neutral ground
Binafsi nadhani team zijipange zaidi ili kushinda hili kombe Ahly hata Ile hali ya mashabiki inakufunga kabla hujafungwa na hawajaingia Bure
Njoo Dar Sasa yanga akikabidhiwa ubingwa uone mashabiki
Kabisa nadhani watu inabidi wajue ni kwanini badala ya kulalamika. Ulaya kwanza usafiri ni rahisi na gharama ni ndogo hawahitaji visa, mipaka iko wazi ni kama unatoka Mwanza unaenda Dar( Mwanza Dar mbali sana) kwao safari fupi na rahisi. Africa vipato vidogo, gharama za kusafiri kubwa sana, malazi gharama kubwa kiujumla uchumi wa mtu mmoja mmoja sio rahisi kuweka budget kushangilia mpira wakati huku masharara hautoshi, shule ada inakusubiri, kodi na Mama anataka kwenda kubalisha nywele.

Kwa ndege ni rahis kwenda Dubai kuliko kwenda Kenya au Uganda sasa tujiulize ni kwanini?
 
Halafu kulikuwa na vyura humu vinakoroma eti Alhly hamna timu pale imeisha.
Al Ahly hata wakiwa wabovu wale ni kama train la Diesel linaanza taratibu likichanganya tu unalikuwa limefika station. wao wameshinda kombe mara saba sasa changanya team za E.A, sijui south yote na central hatufiki hata nusu ya mafanikio yao. Mkubwa ni mkubwa tu ni sawa UEFA hawa Madrid hata wakiwa wabovu ila ujipange..
 
Kabisa nadhani watu inabidi wajue ni kwanini badala ya kulalamika. Ulaya kwanza usafiri ni rahisi na gharama ni ndogo hawahitaji visa, mipaka iko wazi ni kama unatoka Mwanza unaenda Dar( Mwanza Dar mbali sana) kwao safari fupi na rahisi. Africa vipato vidogo, gharama za kusafiri kubwa sana, malazi gharama kubwa kiujumla uchumi wa mtu mmoja mmoja sio rahisi kuweka budget kushangilia mpira wakati huku masharara hautoshi, shule ada inakusubiri, kodi na Mama anataka kwenda kubalisha nywele.

Kwa ndege ni rahis kwenda Dubai kuliko kwenda Kenya au Uganda sasa tujiulize ni kwanini?
Kimsingi hata furaha yenyewe ya kushangilia hatuna
Ulaya wale watu tuwaache wako mbali sana
Final mbili ziendelee hatuwezi angalia final kama Ile iliyofanyika Nigeria mpira umejaa mwangwi na kuacha Ile Raha nimeona pale Cairo international
 
Hili tukio nilidhani tumeliona wachache. Haya mashindano kubebana ni kwingi sana
Hakuna Penalty pale ni maamuzi sahihi kabisa alifanya refarii.
Hivi tukio kama lile ni refa gani anaweza kufunika penalty?
Najua wengi wamechoshwa na Ahly kutawala soka la Africa ila isiwe sababu kulaumu hata vitu ambavyo sio kweli
 
Hakuna Penalty pale ni maamuzi sahihi kabisa alifanya refarii.
Hivi tukio kama lile ni refa gani anaweza kufunika penalty?
Najua wengi wamechoshwa na Ahly kutawala soka la Africa ila isiwe sababu kulaumu hata vitu ambavyo sio kweli
Uliangalia AFCON?
 
Back
Top Bottom