Mtajijua wenyeweeeeeee hamtutishi kabisaaa....yani kwa sasa hamtutishiiii...sisis ndo Simbaa...Simba is the team which is not going anywhere, subiri Yanga akuonyeshe jinsi ya kumfunga Al Ahly nyumbani kwao sio mnakalia draw draw tu mnatoka kizembe
Kwenda wapiLakini mmetoks
Na Simba kafuzuje makundi ya club bingwa?Al ahly kafuzu kwa kanuni sio ushindi dk 90..
Simba katolewa kwa kanuni sio kwa kufungwa dk 90.
Lomalisa atasaidiwa na Mwamnyeto ama Bacca kwenye huu upande wa kushoto, af kwa watakaotaka kupita pale kati atakuwepo "The Tank" Aucho na Mudathir maana huwa wanashuka sana chini kurudi wkt timu haina mpira.Yes, hiyo siku itabidi Lomalisa tumpumzishe tuwaweke wazee wa kazi.
Lomalisa is too soft kupambana na Shahat na Hany, hapo bado Tau.
Balaa
Kupambana na mashujaaaKwenda wapi
Ungekuwa lkn. Ila sioNingekuwa ROBERTINO baada kuongoza , niingeingiza kiungo wa ziada kati ili kukata supply za Alhly kwa kuwa tangu mwanzoni walikuwa wanajenga hema langoni mwa Simba..kiungo defender
AahaàaaaNa Simba kafuzuje makundi ya club bingwa?
#YNWA
Siongei na watu amjawahi kuucheza wala kuupenda mpira mnakulupuka ukubwani kupenda timuOngelea timu yako mbovu ya Simba na sio Yanga
Sio wale wachezea Mwiko?Kupambana na mashujaaa
Fainali Sisi tulishinda kule, tukatolewa kikanuni, mikia ikachonga mwezi mzima hahaha 🤣🤣🤣 zamu yao kuimba kikanuniWaarabu tumesawazisha ubao... sisi ni jino kwa jino 🤗🤗🤗
Ulitaka akacheze kama beki Au?!hahaha hata onana
5 November siyo mbaliSio wale wachezea Mwiko?