Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Ni bora imekuwa both team to score ,gg hatuchekani😂😂😂Cha msingi wote tutoke
Hii ishu ya kwamba Yanga ipite ilikuwa inanikarahisha sana.
Kutoka ni kutokaa tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo unatokaje
sawaJingine ni Kuwa tumekosa Penalty za wazi tunapiga na kumfata Kipa na zingine tumepaisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oyaaa makolo, njooni tulewe tukalale tu kesho nayo ni siku wenetu..!![emoji23][emoji23]
Matumizi mabovu ya NafasiUsenge sana Simba wanafanya
Kweeeehh 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tayariiiiiiii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kauli za Kesho.![emoji2][emoji2]
[emoji117] Mangungu Hatufai.
[emoji117] Bora Manula Angekua Mzima.
[emoji117] Chama Bora Atupishe.
[emoji117] Saido Asinge Anza Kazeeka.
[emoji117] Kocha Kaja Katikati ya Msimu.
[emoji117] Serikali ilitukwamisha Toka Mwanzo.
[emoji117] Sisi Robo Ndio Kwetu Nusu Bado
[emoji117]Tumekufa kiume
[emoji117]Shabalala na Kapombe wapumzishwe sasa
Ongeza Lingine…![emoji23][emoji23]
HahahahTunamshukuru Mama kwa kuonyesha mahaba ya dhati ya Yanga na sio ss
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu tar ya leo ni [emoji95] kwa [emoji1241][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaa mpk sio poa
Wifi ni kulewa tyuuuu!! 🤣🤣🤣🤣Oyaaa makolo, njooni tulewe tukalale tu kesho nayo ni siku wenetu..!!😂😂
Si mlisema mnaitaka Nusu Fainali?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kuwa uto katolewa, walaaa hata hakuna shidaaa.
Wamekufa kwa kuteseka mno vyura.Anayekufa kwa rungu na anayekufa kwa bunduki ni yupi ambaye amekufa sana?
Kufa ni kufa tu
Mpaka miguu imatetemeka aiseeMatumizi mabovu ya Nafasi
Naona umekuja kupozea machungu huku?Al Ahly wamefungilia koki
Leo tar ya kukumbukwa 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu tar ya leo ni [emoji95] kwa [emoji1241]
wanajituliza kule maan wakija uku watazimia