Yapo kwenye uzi wa Yanga π€£π€£π€£π€£πππ
Na wamepoa leo kama wamesafiri..!!
Hii match ikiisha usipofanya unachopaswa kufanya, nakuua..!!Mamaeeee ππ
Uzuri ni kwamba, hawa waarabu wamecheza dhidi ya Yanga Sc kwenye msimu huuhuu hivyo hatuwezi kuandikia mate.Bado tuna nafasi ya kuliteka soka la afrika, na yanga naona kabisa wanayo hiyo nafasi, ila kwa sisi simba bado sana aisee
Naamini kama yanga angekuwa anacheza na hawa waarabu lazima mwarabu angekufa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmetolewaaaaa, hiloooooMAKOLO YANAPELEKEWA PUMZI YA MOTO [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaa uduguu
πππYapo kwenye uzi wa Yanga π€£π€£π€£π€£
Ila simba mbovu bora ingeenda hata azam
Jamaa una roho mbaya kinoma inapokuja ishu ya Yanga π€£ π€£ π€£Cha msingi wote tutoke
Hii ishu ya kwamba Yanga ipite ilikuwa inanikarahisha sana.
Leo ndio nimeaminiSimba inahitaji mabadiliko makubwa sana ya wachezaji,wengi quality yao ni ndogo mno..
Uzabuliwe nje ndani halafu useme kiume?Tumekufa kiume
Iko Zambia kwa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile penatiii from Madiba to KIGOMA imeshafikaaaa
Kwani simba alipataga matokeo kwa mamelodUzuri ni kwamba, hawa waarabu wamecheza dhidi ya Yanga Sc kwenye msimu huuhuu hivyo hatuwezi kuandikia mate.
Katika hiyo michezo miwili, Yanga Sc ilipata matokeo?
Wifi naijua hiyo π€£π€£π€£π€£Hii match ikiisha usipofanya unachopaswa kufanya, nakuua..!!