FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

Bado tuna nafasi ya kuliteka soka la afrika, na yanga naona kabisa wanayo hiyo nafasi, ila kwa sisi simba bado sana aisee
Naamini kama yanga angekuwa anacheza na hawa waarabu lazima mwarabu angekufa
Uzuri ni kwamba, hawa waarabu wamecheza dhidi ya Yanga Sc kwenye msimu huuhuu hivyo hatuwezi kuandikia mate.

Katika hiyo michezo miwili, Yanga Sc ilipata matokeo?
 
MAKOLO YANAPELEKEWA PUMZI YA MOTO [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmetolewaaaaa, hilooooo
 
Uzuri ni kwamba, hawa waarabu wamecheza dhidi ya Yanga Sc kwenye msimu huuhuu hivyo hatuwezi kuandikia mate.

Katika hiyo michezo miwili, Yanga Sc ilipata matokeo?
Kwani simba alipataga matokeo kwa mamelod
 
Kuna kitu Timu Yetu haikifanyo. Al ahly wanakifanya na watuzidi...

Kuna utofauti wa sisi tukiwa na mpira na Al Ahly wakiwa na mpira.
 
Back
Top Bottom