FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

Fisi anakufa kwa mafarao..,ndio mlikuwa mnaliliq serikali iwasaidie ndege?? Mnaruka ruka tuu uwanjan..
 
MAKOLOoooooooooooooooooo wanataka kucheza pira speed na waarabu ikiwa

MAKOLOoooooooooooooooooo ni wazee
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na wao wanapunguzia maumivu kule..?? Kuna likolo moja limenitendesha dhambi ya kutukana hadi..!!
🀣🀣🀣🀣 usijali utaisingizia pombe
Mimi kuna mmoja niliona ananitafutia ban sema kajiongeza hajanijibu, leo watuache tumevurugwa na mengi!!! Kuna refa, na kuna penati wakae kwa kutulia.
 
What a waste...... serikali ingewasafirisha makolo
 
🀣🀣🀣🀣 usijali utaisingizia pombe
Mimi kuna mmoja niliona ananitafutia ban sema kajiongeza hajanijibu, leo watuache tumevurugwa na mengi!!! Kuna refa, na kuna penati wakae kwa kutulia.
πŸ˜‚πŸ˜‚
Kesho unajifanya mpooole umeamka na busara unaanza kuomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…