mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Na majini tunasahau uwekezaji😄😄Tukutane kwenye ligi yetu ya bahasha sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na majini tunasahau uwekezaji😄😄Tukutane kwenye ligi yetu ya bahasha sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwakalobo new member. Hii sio ligi ya majini' [emoji851][emoji851]
🤣🤣🤣🤣 nimelala lkn usingizini naliona goli la Aziz ki, ile mechi tulishinda basi tyuuu!! Motsepe mnanii wakeUduguu umeshatokaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fujo za nn? CAFCL zina wenyewe, na wenyewe ndio hao walio fuzu Semi final
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado usingizi haujaisha, kalale tena uduguu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimelala lkn usingizini naliona goli la Aziz ki, ile mechi tulishinda basi tyuuu!! Motsepe mnanii wake
🤣🤣🤣🤣 huu usingizi itabidi niende store nikaumalizie naweza kutukana wateja, bado nna wenge la jana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado usingizi haujaisha, kalale tena uduguu.
Caf wameitapeli yanga ama sivyo tulikuwa tukutane Tena na Al ahly fainali!Mwakarobo jr wapata kombe la kufa kiume.
Tulikuwa hivi, ilibaki kidogo tu, kama sio hivi, kama sio vile. HIVI NI VIUNGANISHI VINAYOTUMIKA UNAPOKUFA KIUME.Caf wameitapeli yanga ama sivyo tulikuwa tukutane Tena na Al ahly fainali!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu saka maokoto, mambo ya jana yaache yapite, imeishaa hiyooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu usingizi itabidi niende store nikaumalizie naweza kutukana wateja, bado nna wenge la jana
Sema wewe unahitaji mbadala maana Mangungu, Try Again na Mo hawahitaji mbadala maana Kapombe Job na Fred wanawatosha miaka yote. Hii ndio Bongo nduguTunahitaji mbdala wa Kapombe, Job na Fred
Mlifikiri yule refa ni kama Arajiga wenu?Tumeonewa na refa mkuu, tulikuwa tunaingia nusu fainali leo.
😂😂😂😂😂 mfyuuuu!! Mmepigwa nje ndani, mmeaibisha taifa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu saka maokoto, mambo ya jana yaache yapite, imeishaa hiyooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani udugu ukikubali umetoka, shida nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuu!! Mmepigwa nje ndani, mmeaibisha taifa
Mbona hao tunawafungaga? Wametuotea tuu kipindi hiki...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani udugu ukikubali umetoka, shida nn?
Mbona utazoea tyuuh