FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

Uduguu umeshatokaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fujo za nn? CAFCL zina wenyewe, na wenyewe ndio hao walio fuzu Semi final
🤣🤣🤣🤣 nimelala lkn usingizini naliona goli la Aziz ki, ile mechi tulishinda basi tyuuu!! Motsepe mnanii wake
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimelala lkn usingizini naliona goli la Aziz ki, ile mechi tulishinda basi tyuuu!! Motsepe mnanii wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado usingizi haujaisha, kalale tena uduguu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado usingizi haujaisha, kalale tena uduguu.
🤣🤣🤣🤣 huu usingizi itabidi niende store nikaumalizie naweza kutukana wateja, bado nna wenge la jana
 
Caf wameitapeli yanga ama sivyo tulikuwa tukutane Tena na Al ahly fainali!
Tulikuwa hivi, ilibaki kidogo tu, kama sio hivi, kama sio vile. HIVI NI VIUNGANISHI VINAYOTUMIKA UNAPOKUFA KIUME.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu usingizi itabidi niende store nikaumalizie naweza kutukana wateja, bado nna wenge la jana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu saka maokoto, mambo ya jana yaache yapite, imeishaa hiyooo
 
Tunahitaji mbdala wa Kapombe, Job na Fred
Sema wewe unahitaji mbadala maana Mangungu, Try Again na Mo hawahitaji mbadala maana Kapombe Job na Fred wanawatosha miaka yote. Hii ndio Bongo ndugu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu saka maokoto, mambo ya jana yaache yapite, imeishaa hiyooo
😂😂😂😂😂 mfyuuuu!! Mmepigwa nje ndani, mmeaibisha taifa
 
nashukuru msimu huu akuna kufa kiume bali panapovuja pameonekana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuu!! Mmepigwa nje ndani, mmeaibisha taifa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani udugu ukikubali umetoka, shida nn?
Mbona utazoea tyuuh
 
Back
Top Bottom