Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Offside hiyoTayari huko mkuu.
OffsideTayari huko mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hatariii tupuu.Refa kakataa bwana.
Hahahaaha Angalia AZAM au TVEIla TBC sio sehemu ya kuangalia mpira, imagine mtangazaji wa studio anasema na sasa twende tukatizame mechi ya simba na Yanga
Hivi we bro ni Moderator au?Uko live sasa
Huku wala sio Kwa kupoteza muda salama yetu ni Yanga kutolewa🤓Offside. Daaa. Tulishafungwa.
Imesimama njoo ukalieTukose wote tu.
Scroll down mzeeamna kitu apo
Manyema FCSa far Tanzania imebakiwa na timu 1 tu kwenye CAF Chaampions league. Hii ni kufuatia kuondolewa kwa Yanga na mamelod sundown ya SA.
Ilikuwa ni taarifa tu.
Kwa kweli mkuu, tbc wapambane na maonyesho ya ccm tuu mpira wawaachie AzamHahahaaha Angalia AZAM au TVE
Dk ya 26,Huku wala sio Kwa kupoteza muda salama yetu ni Yanga kutolewa🤓
Ngoja uone watakavyo tokotwaSimba nayo imekuwa yamoto