Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asingeruhusu lile goli amini kwamba leo angekuwa anacheza mpira mbovu sana, akiwa na faida huwa anapaki bus mpira unakuwa wa papatu papatu.Kosa kubwa tulilofanya Simba ni kuruhusu lile goli pale kwa Mkapa
Silipendi hilo lizee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saidoo anapambana, hilo halina ubishi, ila kuna vitu vya namba 9 anavikosa, timu inahitaji namba 9 hii, mwalimu alitia hata hilo li koublan mengine tutajua humo humo tu.
Iangalie Mzee mechi Tamu sanaSiwezi tazama hi mechi Nina hasira sna
Kamwe haiwezi ikuta ya yanga mzee scar'sHii ni mechi ya kiwango cha juu sana
Pole sana. Ile kauli ya kufa kiume vipi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siwezi tazama hi mechi Nina hasira sna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan leo, ni full kushuhudia manjegeka ya marefa. Woiiiiiih[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kawabeba km wale wapuuzi
Makosa hayo wanakuja kuyafanya Al Ahly leo hapo CairoKosa kubwa tulilofanya Simba ni kuruhusu lile goli pale kwa Mkapa
Leo na wao waonje uchungu wa kufa kiume.Pole sana. Ile kauli ya kufa kiume vipi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uto mnaendelea
Wanasema hakuna kufa kiume kufa ni kufa tuu nimechekaa😂😂Pole sana. Ile kauli ya kufa kiume vipi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kalale tu usingizi hii timu itakuua na ugonjwa wa moyoMi naifatilia tu hapa kwenye masimulizi ....make najua HT tu mwarabu atakua katukanda wanasimba