Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba kweli anaenda kugeuka pussy cat [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
WallahSimba kweli anaenda kugeuka pussy cat 🤣🤣🤣🤣
Nyie hammiliki na bado mnakandwa vilevilewazee wa kumiliki mpira, ila wanakandwa
🤣🤣🤣🤣 mnashambuliwa vibaya udugu mpk huruma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila bora wametoka tu. Sasa hv wangekuwa wamejaa humu. Hali ingekuwa mbaya mno.Wanataka kujitofautisha na sisi kuwa wao wametolewa wakiwa wamepambana.
Lakini imesaidia nini zaidi ya kusumbua mahakama tu?
Sisi tulikuwa na situation kama hiyo msimu uliopita dhidi ya Wydad lakini wao wakatudhihaki kuwa "wafa kiume"
Sasa leo wanashindwa watumie maneno gani sahihi kama mbadala ili kujifariji na isilete tafsiri ambayo sisi tutaitumia kuwarudishia dhihaka zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnashambuliwa vibaya udugu mpk huruma
kabisa sema hawezi mfikia diaraAyoub ni bonge la kipa
Mo hakukosea kumsajili