Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba ni baba tuu ata akifa picha utaikuta sebuleni...Kikubwa ni wote tutoke kelele zisiwepo, binafsi sina stress kabisa.
Hii nchi isingekalika hii😁
😂😂🤣🤣🤣🤣 Mungu abariki mwakani mwanzoni nilete baby walker 😜
Tumpe jina Aziz kapombe kukumbukia siku ya leo 😂😂😂
utokaji wetu uko tofauti mkuu, we umekandwa kote yanga kaonewaKikubwa ni wote tutoke kelele zisiwepo, binafsi sina stress kabisa.
Hii nchi isingekalika hii😁
🤣🤣🤣 na sala ya asubuhi unaongoza km sio wewe!!!😂😂
Kesho unajifanya mpooole umeamka na busara unaanza kuomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza..!!
🤣🤣🤣🤣🤣Refa maliza mpiraa, watu tunakaa mbali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nini kudroo huku na kule ? Simba ilishawahi kufanya hivi 1-0 Home na Away 0-1MAKOLOoooooooooooooooooo
Ni aibu Kwa taifa