Utola nani limekataliwa?
Mental health is currently a serious problem.itoshe kusema yanga anajua.
90' Hilal 1-0 Yanga
Pumzika tu nitakuamsha mpira ukiisha. ..dk za mwisho mwisho. ..Bado dkk ngapi? Mpira unapoteza muda jamani imagine badalq nilale
Hawa wamesajiliwa ilo ku heza UefaCL🤣Kocha amekosea kutompanga Mayele, Aziz Ki, Feisal, Bangala na mdaka mishale.
Ndiyo hivyo, Bugatti humwambii kitu kwa FistonKumbeeee