Yani nahisi raha leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mechi ya Jana tarehe 16/10/2023 imeonyesha jinsi Al Hilal ilivyo bebwa na Bahasha, Ni aibu Kwa refa aliyeteuliwa kwenye Marefa wanao tarajiwa kuchezesha kombe la Dunia kuchezesha Kwa kiwango kile.Tuliwaambia acheni kuhonga marefa wekezeni uwanjani CAF hakuna hiyo michezo hamkusikia ona sasa mmelitia aibu taifa. Toka mwaka 1998 mtoto anazaliwa hadi anamaliza chuo kikuu hajaiona yanga makundi club bingwa
Haaa haaa sio makundi tenaHii ni michuano inayo ongoza Kwa kuwa aibisha Marefa, Maana timu Ina bebwa mbaka aibu. Kweli fedha fedheha.
Mbaka[emoji735]Mechi ya Jana tarehe 16/10/2023 imeonyesha jinsi Al Hilal ilivyo bebwa na Bahasha, Ni aibu Kwa refa aliyeteuliwa kwenye Marefa wanao tarajiwa kuchezesha kombe la Dunia kuchezesha Kwa kiwango kile.
Inafikia hatua mbaka refa unakua Nyota wa mchezo!!! Africa njaa inua mpira[emoji1][emoji1]
Unafikiri wao hawakuumia?Kufungwa kwenye soka ni jambo la kawaida, ila timu iliyo fanya usajili wa zaidi ya bilioni 6 na kupata ushindi ambao refa anatumika kuliko wachezaji ulio sajili ni Aibu na udumavu wa mpira.
Yanga licha ya kutolewa wameonyesha kile walicho tuonyesha tatizo la kutopata matokeo Lili kua nje ya uwezo wao, hakuna namna utamwambia refa.
Iwe mvua, iwe jua.Mzee unbeaten kwenye Ligi kuu. Kama ingekuwa hivyo mbona walishafungwa na Rivers??
Toka tuanze Karne ya 21 hawajawahi ingia makundi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Tuliwaambia acheni kuhonga marefa wekezeni uwanjani CAF hakuna hiyo michezo hamkusikia ona sasa mmelitia aibu taifa. Toka mwaka 1998 mtoto anazaliwa hadi anamaliza chuo kikuu hajaiona yanga makundi club bingwa
Msamehe kavurugwa Jamani [emoji1][emoji2][emoji2]maana haamini anachokionaa[emoji1][emoji1]Mbaka[emoji735]
Mpaka[emoji736]
The same kwenu mkiwa NBC primier leagueMechi ya Jana tarehe 16/10/2023 imeonyesha jinsi Al Hilal ilivyo bebwa na Bahasha, Ni aibu Kwa refa aliyeteuliwa kwenye Marefa wanao tarajiwa kuchezesha kombe la Dunia kuchezesha Kwa kiwango kile.
Inafikia hatua mbaka refa unakua Nyota wa mchezo!!! Africa njaa inua mpira[emoji1][emoji1]
Aliye ingia Makundi amerudi na kikombe gani, maana kama unaingia Makundi Kwa Kubebwa na hakuna kikombe unachopata ni hasara.Toka tuanze Karne ya 21 hawajawahi ingia makundi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Mbaka[emoji735]
Mpaka[emoji736]
Msitusumbue.Daima mbele,nyuma kuna mwiko mkubwa kama kasia ya ngalawa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
na nabi kibarua chake ndio kitakwisha.Hii Jumapili na ijayo ya tarehe 23 Oktoba sio nzuri sana kwa Utopolo.
Kwa ujumla hii wiki yote ni majanga kwani Jumanne wiki hii pia droo ya kombe la shirikisho Aftika inatoka kwa vile Utopolo ni underdog wanapangiwa kigogo ili wafurushwe mapema zibaki timu bora. Apangiwe tuu Agosto ya Angola ili wakose visingizio.
Tukitoka hapo Jumapili anaenda kuchomolewa mwiko huko nyuma pale Lupaso.
Kubebwa vipi mzeeAliye ingia Makundi amerudi na kikombe gani, maana kama unaingia Makundi Kwa Kubebwa na hakuna kikombe unachopata ni hasara.
Kama mtazamo ni kuingia Makundi haijalishi unatumia njia gani basi inakosa maana zaidi ya fedheha Kwa mashabiki.
Malengo yenu mwaka huu yalikua ni yapi?Aliye ingia Makundi amerudi na kikombe gani, maana kama unaingia Makundi Kwa Kubebwa na hakuna kikombe unachopata ni hasara.
Kama mtazamo ni kuingia Makundi haijalishi unatumia njia gani basi inakosa maana zaidi ya fedheha Kwa mashabiki.
huna akili, simba jana tumeingia makundi tunalamba bilioni 1.4 nyiee utopolo mnalamba midomo tuu,, jinga kabsaAliye ingia Makundi amerudi na kikombe gani, maana kama unaingia Makundi Kwa Kubebwa na hakuna kikombe unachopata ni hasara.
Kama mtazamo ni kuingia Makundi haijalishi unatumia njia gani basi inakosa maana zaidi ya fedheha Kwa mashabiki.
Akikujibu nitag mkuuMalengo yenu mwaka huu yalikua ni yapi?
Nafurahia anguko la uto[emoji23]Unafurahi wabongo kufungwa Vale...