FT: Al Hilal 3 - 1 ES Tunis | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 01.12.2023

Kuna Hali iliyojitokeza pale Uwanjani ilikuwa ya hovyo sana.

Kuna wachache walitaka kuharibu hali ya hewa kwa kufunga geti kwa madai walioingia wametosha.

Hii Video ni baada ya watu kupiga kelele nyingi za kuhitaji kuingia na Walivyoona hivyo ikabidi wafungue.

Sababu za kufunga geti ni za kijinga sana.
 

Attachments

  • VID_20231201_192019.mp4
    21.8 MB
Huwa wanaweka mazingira hayo ili kupata rushwa mechi nyingi za Bure hufanya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…