Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujachelewa. Rudia tena kutabiri. Maana mkeka unaelekea kuchanika.Utabiri: Bamako 2-0 Yanga
Download yacine tv kule google ina kama MB 13 then download ytv player ina MB 7 baada ya hapo kula maishaMwenye link wakuu
Share
Ile mbutembute ya Jana pale st Mary uliona?Haya mashindano mengine CAF inabidi wayafute tu, tunaumizana macho bila sababu ..
Macho yanauma sitazami tena ...Tulia mtani kaa kwa kutulia
Wamepita hiviBamako genge mpo wapi?
Halafu hatunaga habari za kutafuta sare sisi sio wa sare yani....nasema hiviii sare za vijora hazituhusuMna cheza gombania ball au
Kama mpaka mechi za nje mama anatoa gawio!?Mama tutamfilisi mil 5,tunaanza kuzihesabu.
Papatu papatu, ya Mungu mengi.Ile mbutembute ya Jana pale st Mary uliona?
Ndondo si Ndondo, Chandimu si chandimu
Sizitaki mbichi hiziHawa losers wamekutana
Kwahiyo ilibidi tulie?Uto muache ushamba, kuwafunga hao watoto wenzenu kwenye kombe la mbuzi ndio mnarukaruka kwenye makochi[emoji1787][emoji1787][emoji1787], siku mkimfunga Al Ahly si mtaomba kesho yake iwe siku ya mapumziko kitaifa🫣🫣
heka heka tena sema nilikuwa na raha mwanzo mwisho timu yangu naijuaWewe ulikuwa na heka heka tang mwanzo wa mechi, hao wengine je?
Uliyemfunga wewe?Uto muache ushamba, kuwafunga hao watoto wenzenu kwenye kombe la mbuzi ndio mnarukaruka kwenye makochi[emoji1787][emoji1787][emoji1787], siku mkimfunga Al Ahly si mtaomba kesho yake iwe siku ya mapumziko kitaifa🫣🫣
Tushakuharibia siku mpaka hapo, kunywa novida ulale 😁Hawa losers wamekutana
Kbsa imekuwa postive sana ila pia wachezaji tunaowachukuwaga Azam huwa wanakuwa wakali sanaHuyu Mudathir, huenda kuondoka kwa Feisal ni + kwa wanajangwani.
Baada ya kuona matarajio yako hayaenda vile ulivyowaza.Hawa losers wamekutana