Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hhahaahh ni kaleeee π π π π π π π π π π π π π π π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhahaahh ni kaleeee π π π π π π π π π π π π π π π π π
Lini uliwahi kuwafunga hao Mazembe hata mechi ya chumbani?Mazembe hakuna kitu ni bora Ihefu...
Kuwashinda hao sio ishu
Best akakugonga tatu kavu getho kwako?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi ni mabest na Raja.
Yaniii njoo inbobo nikwambie kilichonikuta mpk sikuwepo humu.. π π π π πRefa maliza mpira turudi nyumbani wengine tunakaa mbali π
Kuna shabiki kindaki ndaki shabiki wa Bamako sijamuona hapa Kalpana hata kama unafatilia mpira usiuchune hivo
Mazenbe ni wazemmbe tuu hilo ndo ukweliLini uliwahi kuwafunga hao Mazembe hata mechi ya chumbani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa usilie jaman shost, futa kwanza chozi, sisi robooo ni lazimaaa hili halina mjadalaaaa.Wewe kumbe upo siku hizi sikuoni kwenye jukwaa ya michezo au ulikuwa Ethiopia unafuailia jezi zenu za Vunjabei.
Wewe kama hutofuzu ni wewe ila kwetu kufuzu ni lazima nipo vizuri kazi kwenu na babu yenu Onyango mwenye miaka 29,halafu unategemea mfuzu.
Na ataenda na sisi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Best akakugonga tatu kavu getho kwako?
Kwa Tp Mazembe hata humu tukiunganika tukatimia 11 tukasema tuache mahaba ya kupenda wakongo, mbona tunawapigaMazembe hakuna kitu ni bora Ihefu...
Kuwashinda hao sio ishu
Wewe bana unawauzi wababa wa watu wenye ndevu zao na vitambi yani madaktari kabisa wa falusafwa unawaita Shost uwiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa usilie jaman shost, futa kwanza chozi, sisi robooo ni lazimaaa hili halina mjadalaaaa.
Afu tushazoea kuingia Robooo yaan km tunaingia kambini kwetu vileee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CAF wenyewe wanajua hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema nikusindikizee shughurini mwayaa, kijora chako cha chui chui kisicho na mtandio.Watafuta sare unawajua usinichoshe mie [emoji16][emoji172][emoji169][emoji3577]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dear usinichekesheeeee, now nahamia jukwaaa LA sports nichachue utopolooo hadi akili iwakae sawaaaa. WoiiiiiiihWewe bana unawauzi wababa wa watu wenye ndevu zao na vitambi yani madaktari kabisa wa falusafwa unawaita Shost uwiiiiiii
π π π π πUtopolo mmeamkaje?
Lazima makosa yawepo watu wapate matokeo...ukiwa vzr kila eneo mchezo hauwi na mvutoWhy Caze na Nabi hawafundishi kuzuia corner na set pieces?why ?
Sawa husipotee uzuri tupo humu sio unafungwa huonekani.Nakumbuka mara ya mwisho kuongea na ww ni mechi ya ngao ya hisani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa usilie jaman shost, futa kwanza chozi, sisi robooo ni lazimaaa hili halina mjadalaaaa.
Afu tushazoea kuingia Robooo yaan km tunaingia kambini kwetu vileee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CAF wenyewe wanajua hilo.
Eti pwngine kuliko hata weweπ€£π€£inamana wewe umepima ulia lia wangu na wake uyo kisa tu amevua shati na ukaona uyo ndo zaidi ili tu ujustify ile screenshot yako. Sasa sikiliza nikwambie namjua uyo Nash mcee maana ni wa kitaani kwetu Temeke na mara nyingi nilikuwa nacheza nae mpira hapa Temeke kata 14 uwanja wa shule ya msingi madenge, na katika video zake nyingi nipo. Point yangu hapa sio kujimwambafai bali kukuonyesha ushabiki haupimwi unachotakiwa ni kuwa mwanachama activeHuyo sio mchambuzi ni Uto lia lia pengine kuliko hata wewe
Halafu uskikariri kuwa yeyote anayeiongelea timu yako negative lazima awe mchambuzi au shabiki wa timu tofauti na yako
View attachment 2531124
Mwanzo ulimtambua kama mchambuzi ndio maana nikakuambia ni shabiki wa Uto kwa reference ya clip yake akiwa uwanjaniEti pwngine kuliko hata weweπ€£π€£inamana wewe umepima ulia lia wangu na wake uyo kisa tu amevua shati na ukaona uyo ndo zaidi ili tu ujustify ile screenshot yako. Sasa sikiliza nikwambie namjua uyo Nash mcee maana ni wa kitaani kwetu Temeke na mara nyingi nilikuwa nacheza nae mpira hapa Temeke kata 14 uwanja wa shule ya msingi madenge, na katika video zake nyingi nipo. Point yangu hapa sio kujimwambafai bali kukuonyesha ushabiki haupimwi unachotakiwa ni kuwa mwanachama active
Ile comment niliyotoa ilikuwa general kuwahusu wachambuzi wenu waliokushikeni akili, wasiojua game plan ya timu wao kazi yao kuropoka ndo mana nikasema walizibwa mdomo katika mechi ya Club Africaine na Yanga maana walijua Yanga haitoenda makundi baada ya kutoa draw nyumbani, sio kumuhusu Nash mcee mtoto wa kitaani kwetu TemekeMwanzo ulimtambua kama mchambuzi ndio maana nikakuambia ni shabiki wa Uto kwa reference ya clip yake akiwa uwanjani
Bado una mawazo ya kizamani sana ya kuanza kuwadis wachambuziIle comment niliyotoa ilikuwa general kuwahusu wachambuzi wenu waliokushikeni akili, wasiojua game plan ya timu wao kazi yao kuropoka ndo mana nikasema walizibwa mdomo katika mechi ya Club Africaine na Yanga maana walijua Yanga haitoenda makundi baada ya kutoa draw nyumbani, sio kumuhusu Nash mcee mtoto wa kitaani kwetu Temeke
Ulimwambia ila hakutaka kabisa kusikia[emoji16].Naweza nikazungumza mengine yanayopishana na hayo maneno tena
Kumbuka ngoma haijaisha