Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hata wakifa 5 Simba hii ikienda roko finali ni Aibu huko mbeleni wanaweza kufungwa hata 9 hawa.
Kwa hiyo mnashauri tuishie makundi tu ili kukwepa aibu huko mbeleni ?Daah ni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wakifa 5 Simba hii ikienda roko finali ni Aibu huko mbeleni wanaweza kufungwa hata 9 hawa.
Kwa hiyo mnashauri tuishie makundi tu ili kukwepa aibu huko mbeleni ?Daah ni kweli
No tusonge mbele, liwalo na liweKwa hiyo mnashauri tuishie makundi tu ili kukwepa aibu huko mbeleni ?
Akiwa anafanya admin wenu mnaonaga genius? Au ndo ya nyani na kundule?
Kazi zimekuwa nyingi sana, mkuu. Kuna project naifanyia kazi hivi sasa. Nikipata wasaa, ntachungulia.Mwamba umepotea Sana kwenye uchambuzi wako wa movie na series wapenzi wako tumemisi Sana
By Innocent dependent
🤣🤣Akiwa anafanya admin wenu mnaonaga genius? Au ndo ya nyani na kundule?
Uwe unamtazama admin wako Yanga akidraw ama akipoteza namna anavyowashwa.
PYRAMIDKwa hiyo mnashauri tuishie makundi tu ili kukwepa aibu huko mbeleni ?
Sawa sheikh Yahaya.... tusubiri tuonePYRAMID
MAZEMBE
AL MASRY
AL ITIHAD
Kuna dhahma inaenda kutokea robo fainal kwa Simba wasipokula kula Goli 9 ni bahati.
Hapa tayari pua zimekutanuka umepanic kweri-kweri 🤣🤣🤣Lakini haijafikia Mwiko ulioshindiliwa nyuma!
Hili kundi hata tukivuka robo huko mbele hatutoboi,game za ugenini at least kocha Gomez aliyeondoka aliweza kidogo japo mechi ya kaizer kule south ilimuharibia,hii inaonesha kuwa kuna matatizo haswa upande wa back line huwa hayarekebishwi,tutazidi kupigwa goli nyingi hadi watu wa usajili wabadilike,kingine japo sina utaalamu sana wa football ila naona Simba hawana mtu wa saikolojia mechi za ugenini confidence yote ya wachezaji huwa inapotea,baada ya hapo ni goli tu huwa zinaingia tatizo nini?,yote kwa yote katika dirisha la usajili msimu huu tulibahatika kupata wachezaji wawili tu wa maana Sakho na inonga basi,viongozi tunaomba watu kama kagere, kanoute au lwanga,mugalu,Wawa,bwallya na onyango watupishe tusajili wengine bila hivyo hakuna tutakachofanya.Sio mtaalamu wa soka lakini nikionacho mara zote Simba wanakawia sana kustukiza mashambulizi.
Wanafika golini kwa adui kisha wanasubiri adui ajipange ndio waanze sambusa zao goli kupatikana ni 1/10.
Wanafika golini au jirani na goli hata mita 20 hawa shoot. Wanataka kuingia na mpira langoni.
Ona magoli yaliyofungwa na Asec yote ni mita za kutosha na hakuna wa kuremba. Swali Simba wajiulize hawawezi ku geuka na ku shoot?
Naona watu pale mbele kuanguka anguka tu. Kibu akipokea pasi mara zote ataanguka tu. Boko vivyo hivyo. Kocha haoni hayo?
Ningetamani kuona Mkude na Bwalya wana shoot kila mmoja angalao mara 5 hata wakikosa wanajaribu. Wafanyie mazoezi jambo hilo.
Ningetamani kuona beki Mohamed ajifunze kwa Enock namna ya kuzuia washambuliaji matata anaweza sana.
Usajili ujao Simba isajili wabunifu pale mbele. Kongole kwa Morrison anaonesha umahiri na akili kubwa ya mpira.
Nimeumia lakini Simba bado ni timu nzuri irekenishe mapungufu.
Kwani cha ajabu nini hapo ikiwa nao huku walisha kalia vitatu?Yeah umekalia vitatu vya nguvu..
Embu niambia ni advantage ipi hiyo inayombeba mwenyeji kwa Africa? ni uchawi? Au ni Rushwa au mbinu zipi za nje ya uwanja?hajui soka la kiafrica huyu anaendeshwa na mihemko .soka la Africa sio kama la ulaya ambalo timu iwe home iwe away winning chance bado itategemea na mwenye uwezo. lakini Africa ni tofauti ,yani Africa ni kama vile ukiwa home tayari una goli moja mkononi.
TanoZaidi ya Moja ni nyingi au kwako nyingi ni ngapi
Hata tembo akonde vipi hawezi lingana na panya, vile vile na kwa bocco hata achoke vipi hawezi kuchezea utopoloNdio maana hata wachezaji wetu kina bocco wanafaa kuchunga mifugo ya mayele tu.
Mbili Simba ikiwemoTimu ngapi zinatakiwa kuvuka kwa kila kundi,isije nikajipa matumaini yasiyokuwepo...
Huko hawachukui magarasa mzee kaeni nayoHata tembo akonde vipi hawezi lingana na panya, vile vile na kwa bocco hata achoke vipi hawezi kuchezea utopolo
yaan timu ikifungwa home kama muujiza hvhajui soka la kiafrica huyu anaendeshwa na mihemko .soka la Africa sio kama la ulaya ambalo timu iwe home iwe away winning chance bado itategemea na mwenye uwezo. lakini Africa ni tofauti ,yani Africa ni kama vile ukiwa home tayari una goli moja mkononi.
Mashindano haya yanga kafungwa goli chache sana