FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

Hili kundi hata tukivuka robo huko mbele hatutoboi,game za ugenini at least kocha Gomez aliyeondoka aliweza kidogo japo mechi ya kaizer kule south ilimuharibia,hii inaonesha kuwa kuna matatizo haswa upande wa back line huwa hayarekebishwi,tutazidi kupigwa goli nyingi hadi watu wa usajili wabadilike,kingine japo sina utaalamu sana wa football ila naona Simba hawana mtu wa saikolojia mechi za ugenini confidence yote ya wachezaji huwa inapotea,baada ya hapo ni goli tu huwa zinaingia tatizo nini?,yote kwa yote katika dirisha la usajili msimu huu tulibahatika kupata wachezaji wawili tu wa maana Sakho na inonga basi,viongozi tunaomba watu kama kagere, kanoute au lwanga,mugalu,Wawa,bwallya na onyango watupishe tusajili wengine bila hivyo hakuna tutakachofanya.
 
Embu niambia ni advantage ipi hiyo inayombeba mwenyeji kwa Africa? ni uchawi? Au ni Rushwa au mbinu zipi za nje ya uwanja?

Wiki hii tumeshuhudia Raja Casablanca, Al Ahly, Mamelod, whydad, Es Tunis wkishinda ugenini
 
Timu ngapi zinatakiwa kuvuka kwa kila kundi,isije nikajipa matumaini yasiyokuwepo...
 
yaan timu ikifungwa home kama muujiza hv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…