FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

Hivi Wewe! Sasa Huoni Kuwa Ni Ajabu Iyo Barcelona Yenye Wachezaji Bora Kuzidi Liverpool Kwa Viwango Vya Mchezaji Mmoja Mmoja Na Kikubwa Zaidi Uwepo Wa Mchezaji Bora Wa Dunia Ndani Ya Timu Yao, Timu Iliyokuwa Ikitegemewa Na Mashabiki Wake Ichukue Ubingwa Msimu Huo Ikaenda Kutiwa Kamba Nne Bila Away Huku Ikitoka Nyumbani Na Ushindi Wa Goli 3 [emoji1787], Ni Sawa Nyie Timu Yenye Wachezaji Wenye Viwango Vya Juu Kama Kiungo Punda Mzamiru Winga Teleza Kibu Denga Na MaStriker Wa Viwango Vya FIFA John Bocco Na Mugalu [emoji1787], Kosi Linalotumainiwa Na Wanamsimbazi Kuwa Mabingwa Wapya Wa Shirikisho Msimu Huu Kwenda Kutiwa Kamba Tatu Bila Na Timu Mliyoinyanyasa Kwenye Uwanja Wenu Wa Hatoki Mtu [emoji205]
 
Ajabu iko wapi sasa wakati limewezekana?

Liver haina wachezaji bora kwa viwango vya mchezaji mmoja mmoja?

Unaelewa hayo magoli manne yalifungwa na watu wangapi?

Kwamba point yako ilikuwa unataka kusema Simba ina wachezji bora kwa viwango vya mmoja mmoja kuizidi ASEC?

Au kwasababu umeijua simba kwa miaka mingi hivyo umeridhika na viwango vyao kiasi cha kuhitimisha kuwa ni bora zaidi kuliko viwango vya wachezaji wa ASEC?

Unamjua kanote?

Asec mimosas wako nafasi ya 4 wakiwa na point 23 huku anayeongoza ligi akiwa na points 28, lakini hata hivyo anayeongoza ligi kamzidi michezo mitano Asec na pia ukumbuke hajapoteza mechi yeyote mpaka hapo alipofika

Bado unamuona ASEC mbovu?
 
Naona Makolo fc leo mmetoa zawadi kwa mama ya kutimiza mwaka mmoja madarakani
 
Kwani Nyie Si Ndio Mlikuwa Mnatuletea Takwimu Hapa Kuwa Mnashika Nafasi Ya 7 Sijui Afrika Kwa Ubora Na Wachezaji Wenu Hao Akina Kibu Denga, Huku Mkisema Simba Ni Lidude Likuuubwaa, Vipi Asec Hii Iwe Bora Kuwazidi Tena? [emoji854]
 
Kwani Nyie Si Ndio Mlikuwa Mnatuletea Takwimu Hapa Kuwa Mnashika Nafasi Ya 7 Sijui Afrika Kwa Ubora Na Wachezaji Wenu Hao Akina Kibu Denga, Huku Mkisema Simba Ni Lidude Likuuubwaa, Vipi Asec Hii Iwe Bora Kuwazidi Tena? [emoji854]
Kwani kushika nafasi ya saba ilikiwa propaganda au kweli?

Aliyekuambia timu ambazo zinashika nafasi za juu haziwezi kufungwa na timu zinazoshika nafasi ya chini, nani?

Sasa ajabu iko wapi kwani sisi hao ASEC hatukuwafunga?
 
Simba kesho tunaamka saa ngp [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani kushika nafasi ya saba ilikiwa propaganda au kweli?

Aliyekuambia timu ambazo zinashika nafasi za juu haziwezi kufungwa na timu zinazoshika nafasi ya chini, nani?

Sasa ajabu iko wapi kwani sisi hao ASEC hatukuwafunga?
Sasa Ajabu Ni Kwamba Kwa Timu Bora Nyie Afrika Hii Ambapo Kwenye Kundi Lenu Kulingana Na Takwimu Zenu Zile Za Nafasi Ya 7 Hakuna Timu Iliyowazidi Pale Mbn Inakuwa Kila Mechi Sasa Mkienda Huko Hamuoneshi Huo Ubora Wenu Ule Ubora Unakwendaga Wapi Kama Mnavokuwa Kwenye Uwanja Wenu Wa Hatoki Mtu? Au Ubora Wenu Wa Kushika Nafasi Ya 7 Afrika Kama Mnavodai Kulingana Na Takwimu Zenu Ni Ubora Wa Kwenye Uwanja Wa Hatoki Mtu Pekee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…