Kazi ya kulidhalilisha taifa imefanyika kwa ufanisi mkubwa
Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli
Unafikiri robo fainali tungecheza hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli
Unafikiri robo fainali tungecheza hivyo?
Kwani robo fainali huwa mnachezaje?
Nisikie
Asec 1-2 Simba
Kwani Taifa lilivaa msuli kwamba simba anapewa lawama kwasababu alitegua kishikizo?Kazi ya kulidhalilisha taifa imefanyika kwa ufanisi mkubwa
Hivi Wewe! Sasa Huoni Kuwa Ni Ajabu Iyo Barcelona Yenye Wachezaji Bora Kuzidi Liverpool Kwa Viwango Vya Mchezaji Mmoja Mmoja Na Kikubwa Zaidi Uwepo Wa Mchezaji Bora Wa Dunia Ndani Ya Timu Yao, Timu Iliyokuwa Ikitegemewa Na Mashabiki Wake Ichukue Ubingwa Msimu Huo Ikaenda Kutiwa Kamba Nne Bila Away Huku Ikitoka Nyumbani Na Ushindi Wa Goli 3 [emoji1787], Ni Sawa Nyie Timu Yenye Wachezaji Wenye Viwango Vya Juu Kama Kiungo Punda Mzamiru Winga Teleza Kibu Denga Na MaStriker Wa Viwango Vya FIFA John Bocco Na Mugalu [emoji1787], Kosi Linalotumainiwa Na Wanamsimbazi Kuwa Mabingwa Wapya Wa Shirikisho Msimu Huu Kwenda Kutiwa Kamba Tatu Bila Na Timu Mliyoinyanyasa Kwenye Uwanja Wenu Wa Hatoki Mtu [emoji205]Sasa hapo uajabu uko wapi?
Mkuu au soka umeanza kufatilia jana?
Huyu hapa ni barcelona akiwa nyumbani
View attachment 2158525
Hapa ni liver kwenye meci ya marudiano akiwa nyumbani
View attachment 2158536
Hayo yote hujaona ajabu?
Hapa nako uliweza kuwalaumua ASEC na kuona maajabu?
View attachment 2158553
Ila maajabu ukaja kuyaonea hapa
View attachment 2158559
Yenyewe tu ilivyo inajisengenyaLeta uzi wa kuisengenya Yanga. Ndo zinakufaa
Huenda hiki ndicho huwa kinawafanya Yanga muogope kwenda hatua za mbele, mnaogopa kufungwa nyingi. Maana haiwezekani useme umechukua ubingwa mara 27 halafu rekodi za CAF hausomeki kabisaHata wakifa 5 Simba hii ikienda roko finali ni Aibu huko mbeleni wanaweza kufungwa hata 9 hawa.
Msimu Ujao Uza Kapombe Uza Zimbweee
Ajabu iko wapi sasa wakati limewezekana?Hivi Wewe! Sasa Huoni Kuwa Ni Ajabu Iyo Barcelona Yenye Wachezaji Bora Kuzidi Liverpool Kwa Viwango Vya Mchezaji Mmoja Mmoja Na Kikubwa Zaidi Uwepo Wa Mchezaji Bora Wa Dunia Ndani Ya Timu Yao, Timu Iliyokuwa Ikitegemewa Na Mashabiki Wake Ichukue Ubingwa Msimu Huo Ikaenda Kutiwa Kamba Nne Bila Away Huku Ikitoka Nyumbani Na Ushindi Wa Goli 3 [emoji1787], Ni Sawa Nyie Timu Yenye Wachezaji Wenye Viwango Vya Juu Kama Kiungo Punda Mzamiru Na MaStriker Wa Viwango Vya FIFA John Bocco Na Mugalu [emoji1787], Kosi Linalotumainiwa Na Wanamsimbazi Kuwa Mabingwa Wapya Wa Shirikisho Msimu Huu Kwenda Kutiwa Kamba Tatu Bila Na Timu Mliyoinyanyasa Kwenye Uwanja Wenu Wa Hatoki Mtu [emoji205]
Simba hakuna striker, sio Kibu, Mugalu, Kagere wala Bocco wote weupe, next season lazima wasajili strikers sio chini ya wawili wa maana.
Kwani Nyie Si Ndio Mlikuwa Mnatuletea Takwimu Hapa Kuwa Mnashika Nafasi Ya 7 Sijui Afrika Kwa Ubora Na Wachezaji Wenu Hao Akina Kibu Denga, Huku Mkisema Simba Ni Lidude Likuuubwaa, Vipi Asec Hii Iwe Bora Kuwazidi Tena? [emoji854]Ajabu iko wapi sasa wakati limewezekana?
Liver haina wachezaji bora kwa viwango vya mchezaji mmoja mmoja?
Unaelewa hayo magoli manne yalifungwa na watu wangapi?
Kwamba point yako ilikuwa unataka kusema Simba ina wachezji bora kwa viwango vya mmoja mmoja kuizidi ASEC?
Au kwasababu umeijua simba kwa miaka mingi hivyo umeridhika na viwango vyao kiasi cha kuhitimisha kuwa ni bora zaidi kuliko viwango vya wachezaji wa ASEC?
Unamjua kanote?
Asec mimosas wako nafasi ya 4 wakiwa na point 23 huku anayeongoza ligi akiwa na points 28, lakini hata hivyo anayeongoza ligi kamzidi michezo mitano Asec na pia ukumbuke hajapoteza mechi yeyote mpaka hapo alipofika
Bado unamuona ASEC mbovu?
Yenyewe tu ilivyo inajisengenya
Kwani kushika nafasi ya saba ilikiwa propaganda au kweli?Kwani Nyie Si Ndio Mlikuwa Mnatuletea Takwimu Hapa Kuwa Mnashika Nafasi Ya 7 Sijui Afrika Kwa Ubora Na Wachezaji Wenu Hao Akina Kibu Denga, Huku Mkisema Simba Ni Lidude Likuuubwaa, Vipi Asec Hii Iwe Bora Kuwazidi Tena? [emoji854]
Haya ni majukumu ya baba, baba lazima a fight ili watoto mlePoleni ndugu
Babra nilikuona jukwaani unalaamika sana leoHaya ni majukumu ya baba, baba lazima a fight ili watoto mle
Bahati bukuku
"Kwa kupigwa kwake sisi tunepona, kwakupigwa kwake sisi tumekombolewa"
Sasa Ajabu Ni Kwamba Kwa Timu Bora Nyie Afrika Hii Ambapo Kwenye Kundi Lenu Kulingana Na Takwimu Zenu Zile Za Nafasi Ya 7 Hakuna Timu Iliyowazidi Pale Mbn Inakuwa Kila Mechi Sasa Mkienda Huko Hamuoneshi Huo Ubora Wenu Ule Ubora Unakwendaga Wapi Kama Mnavokuwa Kwenye Uwanja Wenu Wa Hatoki Mtu? Au Ubora Wenu Wa Kushika Nafasi Ya 7 Afrika Kama Mnavodai Kulingana Na Takwimu Zenu Ni Ubora Wa Kwenye Uwanja Wa Hatoki Mtu Pekee?Kwani kushika nafasi ya saba ilikiwa propaganda au kweli?
Aliyekuambia timu ambazo zinashika nafasi za juu haziwezi kufungwa na timu zinazoshika nafasi ya chini, nani?
Sasa ajabu iko wapi kwani sisi hao ASEC hatukuwafunga?