Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Huko wapi?Huko hawachukui magarasa mzee kaeni nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko wapi?Huko hawachukui magarasa mzee kaeni nayo
Hesabu za wapi hizi?Jumlisha na zile penalty mbili halafu wao huku tatu kwa goli walipata
Simba 0
Wao 3+ 2 penalties
Ila kibudenga ni messi mtupu huyu.Huko wapi?
Si juzi hapo na wasomaliNa wewe lini umenusa hata hayo makundi ?
GooooalHesabu za wapi hizi?
Afu kuna jambo nimegundua, sometimes unajichanganya kwenye hesabu zako halafu lawana unampa dogo na kumsingizia kakuibia hela
Yeah ni bonge la player huwezi fananisha na yule kibopa kwenye kitambiIla kibudenga ni messi mtupu huyu.
lucid dreamsGooooal
Onyango anajifunga hapa..
Ilikuwa ni nguvu ya uchawi na kupulizia madawa vyumbani.Wote mnaoshadadia Simba kafungwa goli 3 away ni mazwazwa sana, kwani sisi hatukuwafunga goli 3 taifa??? Kwahyo sisi kufungwa 3 away ndio habari?? Mbona tulipowapiga 3 hapa taifa mlisema ni wabovu??
Duh yaani bocco aende utopolo ili akacheze namba ya nani? Labda akawe muokota mipira muda wa mazoezi na dobi wa jezi kule Avic TownHata tembo akonde vipi hawezi lingana na panya, vile vile na kwa bocco hata achoke vipi hawezi kuchezea utopolo
YeahYeah ni bonge la player huwezi fananisha na yule kibopa kwenye kitambi
Ngapi ngapi.Simba anashinda 2-1 tutafutane baada ya dk 90
Vipi waliitumia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]game kama hii SSC wakipata nafasi inabid waitumie ipasavyo
Etieee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa wanafungika kiubua tu sioninsababu ya simba kuwapa heshima ya namna hii
Vipi mlirudisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunarudisha hili
Hongereni [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Simba Tunashinda leo
Inaonekana Mayele kupewa Ng'ombe imewauma sanaKushika mkia upi wa ngo'mbe wenu? Si tutaungo'a ? Nyie tulieni mtajua hamjui
Nimeona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnyama mkali Simba sc tafuna hao Mimosas.
SIMBA NGUVU MOJA
SIMBA BINGWA CAFCC 2021/2022
Sasa hapo uajabu uko wapi?Cha Ajabu Ni Kwamba Timu Yetu Tunaitarajia Ichukue Ubingwa Shirikisho Na Makombe Ya ASFC Na NBC Premier League Inapigwa 3 Kavu Away...Tunapata Hofu Na Timu Yetu Juu Ya Ubingwa Wa Shirikisho Afrika Na Tunaona Ayubu Sisi Mashabiki Mulibwanji Huku Mtaani..
Na kwa mdomo wake kitaachika tuKikaolewe tu
Sawa sawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila la kheri mnyama mechi yetu hi