jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Mdangaji kapigwa 3.0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni kwa ushindi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo tunashinda 2
Duh kumbe walipandishwa daladala hahahaha Mo katili sana kama mwendokasiView attachment 2158512
Shida ilianzia kwenye daladala za Mbagala
Waliona wapunguze idadi ya magoli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanini wanacheza Benin na sio nchini kwao Ivory Cost.
Mmetisha Leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja tukichukulie pint tatu zetu tuliko ziweka
Mmeshinda 3 co 2 mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nisikie
Asec 1-2 Simba
Kwa hiyo mategemeo yako wewe hii michuano Simba ulimtegemea atashinda kote?Basi simba kashinda
Eeh gooooal onyango anajifunga hapa
Mimosas 6
Simba 0
Makosa gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wale wapambe wakushangilia vipi na leo mna simama na ASEC au mmejifunza kupitia makosa?
Sasa sijui unachojivunia nini hapo maana Ingekuwa ndo robo fainali kwa matokeo hayo mngesbatokaSasa hapo uajabu uko wapi?
Mkuu au soka umeanza kufatilia jana?
Huyu hapa ni barcelona akiwa nyumbani
View attachment 2158525
Hapa ni liver kwenye meci ya marudiano akiwa nyumbani
View attachment 2158536
Hayo yote hujaona ajabu?
Hapa nako uliweza kuwalaumua ASEC na kuona maajabu?
View attachment 2158553
Ila maajabu ukaja kuyaonea hapa
View attachment 2158559
Kaibaliki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MUNGU ibaliki Simba
Ulishaisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpira umeanza
Na ilimaliza kwa kasi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba imeanza kwa kasi
Hongereni [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Tunashinda Hii
Haya nimekutafuta sasa ongea nikusikie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba anashinda 2-1 tutafutane baada ya dk 90
Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuliSasa sijui unachojivunia nini hapo maana Ingekuwa ndo robo fainali kwa matokeo hayo mngesbatoka
Unawaachia au hamna uwezo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunawaachia mno hawa ASEC.
Kwani robo fainali huwa mnachezaje?Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli
Unafikiri robo fainali tungecheza hivyo?
Nakumbuka alisema goli la Berkane ni halali japo aliomba replay aangalie vizuri. Sikumsikia kulikataa goli la SakhoHiki kidada cha ZBC si ndio kilisema lile goli la sakho ni offside?