mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Umeona hayo magoli au uko zako choon hujui unatypeConfirmed Baleke sio mtu ni jini
Sa ulitaka Simba wafanyeje? Watoe kitu nje? Acha ushamba na wivu wa kidemu we utopolo. Subiri zam yenu mfanye hayo mnayotaka yafanyikeNi aibu kujisifia upuuzi,kulikua Kuna haja gani ya hii mechi kama marefa wamekuja na matokeo yao
Simba haiogopagi mechi, imeshacheza mechi nyingi zenye tension kubwa kubwa. Cha ajabu mashabiki wa Yanga ndio wanaogopa mechi za Simba kwa niaba ya mashabiki wa Simba 😁Haya watani Kila lenye kheri. CCL Wydad. FA huku nako Azam Yuko mbele yenu
Kule wenye akili wawili tuSimba haiogopagi mechi, imeshacheza mechi nyingi zenye tension kubwa kubwa. Cha ajabu mashabiki wa Yanga ndio wanaogopa mechi za Simba kwa niaba ya mashabiki wa Simba 😁
Tuliza hicho kinena Baleke amalizeUmeona hayo magoli au uko zako choon hujui unatype
Azam wydad kwa simba hii niwachumbatu tunawachabanga gor 5 tano woteHaya watani Kila lenye kheri. CCL Wydad. FA huku nako Azam Yuko mbele yenu
Umejua mpira baada ya kuolewa na mwanaume anaependa mpira siwezi kuendelea kubishana na ww tena kaandae chakulaSa ulitaka Simba wafanyeje? Watoe kitu nje? Acha ushamba na wivu wa kidemu we utopolo. Subiri zam yenu mfanye hayo mnayotaka yafanyike
Huku mbumbumbu ni woteKule wenye akili wawili tu
Msimalize hela leo ili mje muwahonge na azamTuliza hicho kinena Baleke amalize
Nahisi hajui kiswahili huyu, wamtafisirie Kilingala ataelewa.Huyu Baleke angeambiwa kuwa mashindano haya hayana milion 5 kwa ajili ya goli la mama
Acha ukorof kwa chura buraza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Azam wydad kwa simba hii niwachumbatu tunawachabanga gor 5 tano wote