ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kama 4 ni chache zigeuze ziwe chapati uoneKumbe point zenyewe 4 tuu haiumii
Nyie mbona wa kushushwa tuu huyo Azam hata hatumuwazi ni kama vile hayupo hapo.Pambaneni kwanza na Azam kabla hamja tuwaza sisi
HhahhahaKama 4 ni chache zigeuze ziwe chapati uone
Leo nimemuona Nelson Okwa akicheza.
Sijui alisajiriweje Simba.
Usajiri mmbovu ni hasara kubwa sana kwa maendeleo ya timu.
Kamati ya Usajiri ya Simba wanatakiwa kijitafakari sana.
QatarNaona watu hawana tym