na sijui kama itabadilika katika siku sita zijazoYanga ya leo ilikuwa dhaifu sana ingawa Kocha alifanya mabadiliko round ya pili lakini bado timu ilikuwa dhaifu sana. Nimeanza kuigopa derby. Imekuwaje Doumbia hajawahi kupewa namba?
na hapa hakuna kupumzika, kuna Kagera, Simba, safari ya Nigeria halafu Rivers, tena safari ya Dar, halafu Riversratiba ngumu comrade wachezaji wanahitaji kupumzisha miili
Ni kama tu itakavyokuwa kwa Azam Fc, ambayo pia inafahamika kama Simba B. Wanaweza wakaamua tu kuwalegezea kaka zao, ili walau safari hii wafike fainali.Singida akicheza mpira,uto hatoboi fainali,ila kwa kuwa ni yanga b,basi ndo hvyo fainali ni kolo vs utopolo na mshindi ni kolo
Siyo kazi rahisi kwa timu kucheza katika kiwango cha juu kila mechi. Muhimu ushindi ulipatikana. Mechi ijayo bila shaka watafanyia kazi mapungufu yote yaliyo jitokeza.Yanga ya leo ilikuwa dhaifu sana ingawa Kocha alifanya mabadiliko round ya pili lakini bado timu ilikuwa dhaifu sana. Nimeanza kuigopa derby. Imekuwaje Doumbia hajawahi kupewa namba?
Azam ni simba b??unajua kuwa msimu huu simba kaangusha poits 4 kwa azam,kapata moja tu,ila nyie kwa singida mtachukua zote nje ndani,mwigulu akisema nani atapinga sasaNi kama tu itakavyokuwa kwa Azam Fc, ambayo pia inafahamika kama Simba B. Wanaweza wakaamua tu kuwalegezea kaka zao, ili walau safari hii wafike fainali.
Basi tucheze na nyie nusu finalSingida akicheza mpira,uto hatoboi fainali,ila kwa kuwa ni yanga b,basi ndo hvyo fainali ni kolo vs utopolo na mshindi ni kolo
Ajabu inakua ya piliSimba inavyoshinda goli nyingi inaufanya mpira wa miguu uonekane rahisi sana...lakini wapi wala sio hivyo..
Azam ni simba B, Coastal Union ni simba B! Na Namungo pia ni simba B. Na kama huamini, shauri yako.Azam ni simba b??unajua kuwa msimu huu simba kaangusha poits 4 kwa azam,kapata moja tu,ila nyie kwa singida mtachukua zote nje ndani,mwigulu akisema nani atapinga sasa
Ajabu ya Dunia inayoongoza iko shirikisho..looserssAjabu inakua ya pili
Loosers ndio nini ? Mangungu mpka 2030Ajabu ya Dunia inayoongoza iko shirikisho..looserss